Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
maisha kwel tunatofautiana.You were spot on! ila jamaa hakukuelewa!
Miaka ya nyuma nilikuwa nawasimulia washkaji tukio la mtoto kutumbukia kwenye choo mtaani kwetu. Wakishua alikuwa anabisha kuwa haiwezekani , kumbe mie nazungumzia choo cha shimo yeye fikra zipo kwenye vyoo vya kukaa nyumbani kwao
hii kali ya mwaka.Shida misafara ya viongozi inachangia pakubwa global warming.
mikoa mingi inajoto kali.Dodoma jmn ndani hakukaliki aiseee
Wakuu nilikua dar juzi kwangu mm niliona hakuna joto kivile,kwa sasa nipo kilosa Moro kuna sehemu inaitwa kimamba kuna joto hatari wazee,nimekuja kuuza mpunga wangu mwenye uhitaji aje dm.