Wale ambao bado tuko macho mida ya wanga hebu tujuane

Wale ambao bado tuko macho mida ya wanga hebu tujuane

yaani mimi nikosekane πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hio siku nitaumwa
Umenishinda tabia wallahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈ
 
Umenishinda tabia wallahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈ
sasa wamelala,wametuachia uzi,vip huna lolote la kunambia kwenye kiza hikiπŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎnipo tayar kwa chochote
 
sasa wamelala,wametuachia uzi,vip huna lolote la kunambia kwenye kiza hikiπŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎnipo tayar kwa chochote
Weeee usinambieπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯
Kalibu mahome bhana
 
sasa wamelala,wametuachia uzi,vip huna lolote la kunambia kwenye kiza hikiπŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎnipo tayar kwa chochote
Alafu mida ya kulisha wafu hiii kalibu bhanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bado mwanga mwoga wewe ni kwanza sa 8 usiku.
Sa kumi na moja tupeane salamu hapahapa ukiwa hai.
 
Alafu mida ya kulisha wafu hiii kalibu bhanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Heh wewe,, ngoja kwanza niliamka kuomba tu,wacha nikuambatanishe nawewe kwenye maombi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
 
Bado mwanga mwoga wewe ni kwanza sa 8 usiku.
Sa kumi na moja tupeane salamu hapahapa ukiwa hai.
Woga utoke wap,wakat mda huu ndo wakutoa tunguri na kupiga rada mkuuπŸ˜‚πŸ˜‚,iyo kum na moja ndo tunalud majumban mzee🀭🀭🀭
 
Heh wewe,, ngoja kwanza niliamka kuomba tu,wacha nikuambatanishe nawewe kwenye maombi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
Sasa mimi leo n mgeni wako usiku huuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa mimi leo n mgeni wako usiku huuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ushindweeeeeeee πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎmkuu mbona sijakutukana mimi uje kufanya ninπŸ˜‚
 
Ushindweeeeeeee πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎmkuu mbona sijakutukana mimi uje kufanya ninπŸ˜‚
Wala ujanikosea ila nakuja tufanye maombi ya usiku,si umesema upo tayari kufanya lolote kwenye kiza hikiπŸ€·πŸ½β€β™‚οΈπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wala ujanikosea ila nakuja tufanye maombi ya usiku,si umesema upo kufanya lolote kwenye kiza hikiπŸ€·πŸ½β€β™‚οΈπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Niliteleza kibinadamuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚karibu tumkaribishe Roho Mtakatifu maishani mwetu
 
nmekoma kuchungulia ovyo nyuzi za watuπŸ˜‚πŸ˜‚ nisamehe tafadhali nalala pekeangu mkuu
Usijal leo tunalala wote nakulinda,kwani kuna shidoπŸ€·πŸ½β€β™‚οΈπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Niliteleza kibinadamuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚karibu tumkaribishe Roho Mtakatifu maishani mwetu
Naijui iyooooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,leo tupo wte mbona nishakalibia kitambo
 
Usijal leo tunalala wote nakulinda,kwani kuna shidoπŸ€·πŸ½β€β™‚οΈπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu kua serious basiπŸ˜‚πŸ˜‚nmetoka kumwaga maji ya baraka nyumba nzima
 
Back
Top Bottom