Wale ambao bado tuko macho mida ya wanga hebu tujuane

Wale ambao bado tuko macho mida ya wanga hebu tujuane

Yeye ndo kaluka tena kakimbia kama ile nyimbo ya "fukuza kunguru" ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ulizingua kwa kujifanya huelewi ulichoambiwa na bibie, kwamba katika kiza mlichokuwa nyie peke yenu useme chochote na yeye yupo tiyari. Unaanza kuleta habari tofauti...ulitaka upewe nini mkuu
 
Ulizingua kwa kujifanya huelewi ulichoambiwa na bibie, kwamba katika kiza mlichokuwa nyie peke yenu useme chochote na yeye yupo tiyari. Unaanza kuleta habari tofauti...ulitaka upewe nini mkuu
Mkuu si kingine n mbususu Tu mkuu,ila aliijua ile kala winga๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom