Wale ambao bado tuko macho mida ya wanga hebu tujuane

Niliteleza kibinadamuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usijali nipo apa nimekudaka usidondoke,leo tupo wte andaa musos muzur asubui utakuja toa mrejesho apa apa kwenye huu uzi kwamba kwel nilikuja kwako usiku huuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu kua serious basiπŸ˜‚πŸ˜‚nmetoka kumwaga maji ya baraka nyumba nzima
Ayo kwetu sio tatizo,ayo sasa sisi ndo tunatengenezea kioo cha kulia rada nk🀭🀭🀭🀭
 
Usijali nipo apa nimekudaka usidondoke,leo tupo wte andaa musos muzur asubui utakuja toa mrejesho apa apa kwenye huu uzi kwamba kwel nilikuja kwako usiku huuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ujue wewe una utani na presha za watu😒😒
 
πŸ™ŒπŸΎπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekoma
Nipo njian naja,jf nao wakipata shem lao wizard kwan kuna shidoπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸ˜³
 
Kuna loop hole hapo naona umeshindwa kuitendea haki mkuu. Mdada kakupa chance naona umeishia kuruka ruka tu na ndege kaamua kupepea zake
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ
 
Kuna loop hole hapo naona umeshindwa kuitendea haki mkuu. Mdada kakupa chance naona umeishia kuruka ruka tu na ndege kaamua kupepea zake
Yeye ndo kaluka tena kakimbia kama ile nyimbo ya "fukuza kunguru" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yeye ndo kaluka tena kakimbia kama ile nyimbo ya "fukuza kunguru" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Uongooo,,sasa unaniambia habari za wafu kwanini nisikimbie aseeee πŸ˜‚we mchawi nin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…