Boveta
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,174
- 3,804
Imani ambao ni msingi mkubwa wa malezi ya mtoto itaparanganyika.Funga nae ndoa kwa mkuu wa wilaya ya kiserikali hata Kama wazazi wasipokubali.maisha yenyewe mafupi haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani ambao ni msingi mkubwa wa malezi ya mtoto itaparanganyika.Funga nae ndoa kwa mkuu wa wilaya ya kiserikali hata Kama wazazi wasipokubali.maisha yenyewe mafupi haya
Kuna mbegu zingine hazina mbolea, usijilaumu nenda tu kapime ili ujuwe una (mna) matatizo gani.Tunafeli wapi mpaka Sasa hivi hatujafanikiwa hata kutia binti wa Watu ujauzito.tuweni serious jamani tuache kutoa mbegu kwa mkono tuzipeleke sehemu sahihi na sisi tuitwe baba
Lakini kuzaa sio sifaa mzee wala mashindano zaa pale unapokua umejipanga no pressureTunafeli wapi mpaka Sasa hivi hatujafanikiwa hata kutia binti wa Watu ujauzito.tuweni serious jamani tuache kutoa mbegu kwa mkono tuzipeleke sehemu sahihi na sisi tuitwe baba
Njoo tuzae wote me Ni mfanyabiashara msomi na Nina uwezo wa kutunza mtotoLakini kuzaa sio sifaa mzee wala mashindano zaa pale unapokua umejipanga no pressure
Nataka sana kuzaa but sio nje ya ndoa so are u ready...?[emoji28]Njoo tuzae wote me Ni mfanyabiashara msomi na Nina uwezo wa kutunza mtoto
Una akili sema umechelewa kumjua mkeo ( future yf)Imani ambao ni msingi mkubwa wa malezi ya mtoto itaparanganyika.
Amen.Una akili sema umechelewa kumjua mkeo ( future yf)
Family ni imani mkitofsutiana kisa mlidhike nyie watoto watapata tabu.
Bado mtoto sana wewe.Kwani imeandikwa wapi ni lazima Kila mtu awe na mtoto???
Acha upimbi nani mtotoBado mtoto sana wewe.
Yes am ready hata ukitaka tufanye harusi tunafanya kwani shingapiNataka sana kuzaa but sio nje ya ndoa so are u ready...?[emoji28]
Hapo sawa maombi yangu naona yamefika katika kiti cha kunesanesa[emoji41]Yes am ready hata ukitaka tufanye harusi tunafanya kwani shingapi
Nataka sana kuzaa but sio nje ya ndoa so are u ready...?[emoji28]