Wale ambao hatutaoa kamwe tujadili namna ya kuhudumiwa uzeeni

Wale ambao hatutaoa kamwe tujadili namna ya kuhudumiwa uzeeni

Sio kazi ya mtoto kulea wazazi wala hakuna haja ya kuwwategemea wakutunze uzeeni au kuwalaumu wasipofanya hivyo.
Huwa nataman sana kuishi bila Mtoto ila niwe na mke(Natafuta mke ambae hazai au hana mpango wa kuzaa) ,sijaona faida za kuwa na watoto mpaka sasa,ingawaje nimejkuta Kuna kibinti kmoja kimeniingiza mkenge kimeshika ujauzito,

Nilishawahi kutafakari hilo la kuzeeka au ukiugua nani atanihudumia kwa moyo wote kama ambavyo mke au watoto wangefanya,lakin watoto wa siku hz hawana msaada sana kwa wazazi wao,akishapata familia yake,wazazi ana wasahau.
 
Sio kazi ya mtoto kulea wazazi wala hakuna haja ya kuwwategemea wakutunze uzeeni au kuwalaumu wasipofanya hivyo.
Tuwakumbuke wazee wetu jaman,n jukumu letu tusilikwepe
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kwa nini ni heshima kwa mwanamke kuolewa? Ukizingatia kuna wanawake wengi wameolewa ila wana maisha mabovu sana na kuna wengi hawajaolewa wana maisha mazuri na ni msaada mkubwa kwa jamii inayowazunguka.
Sijui km nimeelewa swali vzr[emoji848],,,,,

ila Kuolewa ni heshima kwa mwanamke na familia yake.
 
Umechekesha Sana

Maisha ni haya haya ndugu

Hakuna kuishi kama unavyofikiri.

Toka unazaliwa unaishi.

Kuhudumia familia ni sehemu ya maisha ....ndio kuishi kwenyewe.

Hata huko mbeleni unaweza pata magonjwa yasiyoisha, pesa yako ikaishia kujitibia.

Mradi unapata hela ya kula, mavazi, malazi

Unataka kuishi kupi wee mtu?
,👍
 
Zipo nying sana:-
1.hutapoteza muda ktk malezi,Mara kwenda kilinik
2.pesa yako haitatumika kwenye maswala ya ada ya watoto
3.unaweza epuka magonjwa ya moyo maana Kuna mitoto inatabia za ajabu znazoweza kukupelekea kupata stress
4.hakutakuwa na kelele nyumba,n.k
Mzee wewe ni baharia nini?!!

Wewe ni aina ya wale wala bata 24/7 na wanaopenda kuwa "high" muda wote?!!!

Hiyo nyumba uishiyo iko mbali na makazi ya wengine eee?!! Km sivyo basi majirani zako nao hawana kizazi cha watoto usiopenda usumbufu wao?!!!🤣
 
Kwa nini ni heshima kwa mwanamke kuolewa? Ukizingatia kuna wanawake wengi wameolewa ila wana maisha mabovu sana na kuna wengi hawajaolewa wana maisha mazuri na ni msaada mkubwa kwa jamii inayowazunguka.
Unadhani kwanini tuliumbwa jinsia tofauti? au kwa nini binadamu amewazidi wanyama kiutashi
 
wewe sasa kama una mpamgo wa kuoa na uanelekea 40 shika kalam na karatasi, piga hesab za mtoto wa kwanza hadi anamaliza chuo utakuwa age gani, na last born utakuwaje. utajikuta kuna hatar ukafa hujawai kuishi. unahangaika na familia tu! ila kama utashupaza shingo bas niongeze tu USIOE BINTI AU DADA MDOGO KUIFURAHISHA NAFS KUWA UMERUDI UJANANI. utaishi kwa tabu ya hofu ya kuibiwa na hofu ya underperformance kias kwamba katakupelekesha ka mke dogo dogo utakufa mapema mno. oa mkubwa mwenzio. kama ameachika ni added advantage.
Shida aliyeachika Siku zote anakuwa na watoto tayari.
Dawa ni kuoa kasichana kadogo ili umalizie Siku zako kwa raha mustarehe.
Mbona madingi wanasimamia show vizuri tu,kikubwa ule vyakula na mazoezi ya kukimbia daily.
 
Mimi mipango yangu ni kuowa nikifika 50 na apo nitaowa Maza wa miaka53 kwaiyo apo ni kufarijiana Tu na kutafuta wa kumalizia uzeee
 
Mimi mipango yangu ni kuowa nikifika 50 na apo nitaowa Maza wa miaka53 kwaiyo apo ni kufarijiana Tu na kutafuta wa kumalizia uzeee
We una akili nying sn. Hv wivu huwa unapungua kwa umri au ni yale yale.? Nadhan kuna umri baadh ya matatzo hujisolve kwa kuyapa nafas kidogo ikiwemo wivu. Kiwango cha busara na hekima huwa juu zaid. Wanaume weng hatusemi lkn tuna magonjwa meng yanayotokana na wivu wa kuibiwa hasa ukishaanza ku underperform. kuliko hata magonjwa ya kipesa. Nawakubali jamii wanaothamin pesa kuliko heshma ya mke. Tunatofautiana. Kama kuoa ni hakuna namna kijamii bas at 50 inafaa zaid.
 
Shida aliyeachika Siku zote anakuwa na watoto tayari.
Dawa ni kuoa kasichana kadogo ili umalizie Siku zako kwa raha mustarehe.
Mbona madingi wanasimamia show vizuri tu,kikubwa ule vyakula na mazoezi ya kukimbia daily.
Narudia tena. KATI YA MAKOSA MAKUBWA MWANAUME HUTAKIWI KUFANYA NI KUOA BINTI AU MWANAMKE UNAMZID SANA UMRI. UTASHINDANA NA HOFU YA USICHOKIONA HAD UUGUE MAGONJWA YASIYO NA MAJINA. MAANA WE NDO UTAKUWA WA KUPENDA TU BILA KUJUA UNAPENDWA AU UNAHITAJIKA! LABDA KAMA UNAOA KWA AJIRI YA APPRECIATION YA KIJAMII NDAN UKIUGULIA. Oa mtu mko na lugha moja na mtazamo mmoja ki rika.
 
Back
Top Bottom