Wale ambao ni ma-Atheist Tanzania kama mimi, niambie; ulifiakiaje hiyo conclusion?

Wale ambao ni ma-Atheist Tanzania kama mimi, niambie; ulifiakiaje hiyo conclusion?

halafu sasa baada ya luther ndio nini kimegundulika,ambacho unahisi kilikuwa kinafichwa???
yaani wewe huna tofauti na wale wanaosema Yesu alizushiwa kwamba hakuoa!!!unajiuliza logic ya kumzushia ilikuwa ni kwa faida zake,au zao hao waliomzushia??

sijui ni swali gani ambalo umeuliza!!!!
baada ya martin luther watu walikutukia kwamba kumpa mchungaju hela ili hakusamehe zambi unazokuja kutenda si ukristo, pia kanisa lilikuwa linanyonya waumini, papa hajatajwa kwenye biblia, na tamaduni nyingi za dini hazina ukweli (mfani jinsi misa zanvyo endeshwa): ila hii sio point yangu
kwani point yangu ni: tuelezee kuhusu mungu wako

mi nasikiliza nikijiandaa
 
hii ni kweli kabisa, kwani haujishtukii kwanini nchi zilizoleta dini ya kikristo na zilizoandika biblie zimeacha kuamini ukristo kwa speed ile?

Tena huko watu wa copy za biblia za mwanzoni; gospels original si tafsili za kiswahili na bado wameanza kupuuzi dini
mbona mnaishi kwa ndoto,na hamtaki kutumia logic kwenye maisha ya kawaida!!!

dunia ya leo kinachofifia sio dini tu,hata adabu baina ya lika na lika zinafifia,zamani ilikuwa ni laana kitembea na mama lika la mzazi wako,siku hizi kuna video mpaka vibibi vinaliwa na wajukuu.

nenda china kajifunze ubudha na uhindu,utakutana na utandawazi unazifubaza pia.

lakini kati ya hayo makundi melfu kwa malaki,bado wapo watu na imani ile ile.
 
baada ya martin luther watu walikutukia kwamba kumpa mchungaju hela ili hakusamehe zambi unazokuja kutenda si ukristo, pia kanisa lilikuwa linanyonya waumini, papa hajatajwa kwenye biblia, na tamaduni nyingi za dini hazina ukweli (mfani jinsi misa zanvyo endeshwa): ila hii sio point yangu
kwani point yangu ni: tuelezee kuhusu mungu wako

mi nasikiliza nikijiandaa
nimekuuliza Mungu ni nani??

maana inaonekana unamjua ila hujui chimbuko lake,ndio uandike hapa Mungu ni nani.
 
sasa mpumbavu anatushindaje wakati yu kinyume chetu!!!

sisi tunaamini Mungu yupo.
Kwani fact gani inayoonesha aliyekinyume na wewe ni lazima umshinde kimaarifa?

We unaamini mungu yupo halafu unajiona uko sahihi, wakati hiyo ni betting
 
hii ni kweli kabisa, kwani haujishtukii kwanini nchi zilizoleta dini ya kikristo na zilizoandika biblie zimeacha kuamini ukristo kwa speed ile?

Tena huko watu wa copy za biblia za mwanzoni; gospels original si tafsili za kiswahili na bado wameanza kupuuzi dini
hujanijibu mkuu
 
mbona mnaishi kwa ndoto,na hamtaki kutumia logic kwenye maisha ya kawaida!!!

dunia ya leo kinachofifia sio dini tu,hata adabu baina ya lika na lika zinafifia,zamani ilikuwa ni laana kitembea na mama lika la mzazi wako,siku hizi kuna video mpaka vibibi vinaliwa na wajukuu.

nenda china kajifunze ubudha na uhindu,utakutana na utandawazi unazifubaza pia.

lakini kati ya hayo makundi melfu kwa malaki,bado wapo watu na imani ile ile.
Ndugu huoni uchafu uliofanywa na watu wa dini zenu

utumwa uliletwa na watu wenye dini na kulindwa kwa msimamo wa dini: mtu mweusi ni thelusi ya mtu mweupe, maneno ya makanisa ya marekani na ulaya.
waarabu walileta uislam pamoja na kugeuza baba, babu, dada, mama zetu kuwa watumwa; kwani ni sahihi kumtumisha asiye muislam
bado, miji mingapi imebakwa, kuchomwa moto, wananchi kuuwawa kisa dini
haya, tuongelee kanisa katolilku, miaka ya 70, ubakaji wa watoto ambapo kanisa lilijua na liliwaficha wabakaji (barua na kanisa limekili)
nchini pakistani and afghanistan, dini iliposhamiri, dada wako akibwakwa na kundi la watu (inatokea mara kwa mara) unapaswa kumuua na wabakaji hawapelekwi mahakamani

usisahahu: Alshabab, ISIS, Alqaeda, KKK, republican party, Hezborah: zote hizi ni organisation za kibaguzi zilizoshamiri enzi zile za dini kila sehemu na mpaka sasa...

nakushangaa unapo-oanisha dini na maadili..kha
 
Kwani fact gani inayoonesha aliyekinyume na wewe ni lazima umshinde kimaarifa?

We unaamini mungu yupo halafu unajiona uko sahihi, wakati hiyo ni betting
unaleta fact tena[emoji38][emoji38]umesahau andiko umelitoa wapi na lilielekezwa kwa watu gani??

yeye asiyeamini ni mpumbavu kwa wanaoamini,au kinyume chake.
 
Niliwahi kupata mgogoro kuhusu uwepo wa mungu baadaya kusoma baadhi ya articles na kusikiliza hoja za hawa wanaojiita ma atheist.

Lakini baada ya kuangalia hoja zinazothibisha uwepo wake pamoja na dalili zili outweight zile zinazodai kwamba hayupo


Sina shaka na uwepo wa Mungu japo kwenye dini bado nahitaji research ya kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unaleta fact tena[emoji38][emoji38]umesahau andiko umelitoa wapi na lilielekezwa kwa watu gani??

yeye asiyeamini ni mpumbavu kwa wanaoamini,au kinyume chake.
Sasa unakataa fact unataka utumie nini kama mbadala kujenga hoja?

Biblia haijasema asiyeamini ni mpumbavu kwa wanaoamini, huo ni uzushi ambao umeutengeneza wewe kwa fikra zako uutumie kudhihaki wakristo
 
Sasa unakataa fact unataka utumie nini kama mbadala kujenga hoja?

Biblia haijasema asiyeamini ni mpumbavu kwa wanaoamini, huo ni uzushi ambao umeutengeneza wewe kwa fikra zako uutumie kudhihaki wakristo
haaya.
 
Ndugu huoni uchafu uliofanywa na watu wa dini zenu

utumwa uliletwa na watu wenye dini na kulindwa kwa msimamo wa dini: mtu mweusi ni thelusi ya mtu mweupe, maneno ya makanisa ya marekani na ulaya.
waarabu walileta uislam pamoja na kugeuza baba, babu, dada, mama zetu kuwa watumwa; kwani ni sahihi kumtumisha asiye muislam
bado, miji mingapi imebakwa, kuchomwa moto, wananchi kuuwawa kisa dini
haya, tuongelee kanisa katolilku, miaka ya 70, ubakaji wa watoto ambapo kanisa lilijua na liliwaficha wabakaji (barua na kanisa limekili)
nchini pakistani and afghanistan, dini iliposhamiri, dada wako akibwakwa na kundi la watu (inatokea mara kwa mara) unapaswa kumuua na wabakaji hawapelekwi mahakamani

usisahahu: Alshabab, ISIS, Alqaeda, KKK, republican party, Hezborah: zote hizi ni organisation za kibaguzi zilizoshamiri enzi zile za dini kila sehemu na mpaka sasa...

nakushangaa unapo-oanisha dini na maadili..kha
unaandika haya yote ukiwa unajua kabisa huu sio msimamo wa dini wala Mungu mwenyewe bali ni baadhi ya wafuasi wake.

mfano wewe ukiwa mwema siwezi sema hii ndio tabia ya wasioamini Mungu,itabaki kuwa tabia yako binafsi tu.
 
kusoma dini yoyote na kuitafakali kunakufanya usiamini, ni simple tu
Elimu na fikra ni adui ya dini
ujinga na kufuata msululu ndivyo vinavyo paswa ndani ya dini

Mithali 4:13​

Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.
Hiyo ni Biblia inasema hivyo. Kwahiyo Elimu inasisitizwa na dini
Wewe ni dini gani kwani
 
Nilihoji kwa muda mrefu.

Halafu rafiki yangu mmoja, nilipokuwa na miaka takriban 20, akaniazima kitabu kinaitwa " The Philosophy of Religion - An Anthology".

Kitabu kimejaa habari za dini. Si za kupinga uwepo wa Mungu tu, bali mpaka arguments za kuonesha Mungu lazima yupo.

Nimekisoma kitabu chote. Na kukirudia sana.Kimekusanya karibu mambo yote kuhusu dini.

Kuna sehemu ilikuwa inaongelea "the problem of evil".

Hapo palikamilisha vizuri safari yangu kusema Mungu hayupo.

Nilishawahi kukiweka kitabu hapa.

Kutoka hapo, sijarudi nyuma.
Mkuu KILANGA nitagg nahitaji hicho kitabu as January assignment please!!
 
Atheist wengi ni watu wanaopenda visifasifa...wajinga jinga tu.
 
1. ^Siku nikimjua Mungu nitamwabudu hadi afurahi^ Kumbuka Mungu siyo kama chungwa unaloweza kulifanyia cross-section dissection ukachunguza components zake kama citrus acids, viasili vya vitamins C, antioxidants, the simplest elements like C, H etc. If you have such an idea, basi jua prosposition yako imeanzia wrong end na not long inaelekea kwenye dead end. How much of God must you know before you can fully trust Him!???

2. ^Mimi nimeisoma Biblia kiundani^ You are talking. Pls share hivyo vitu ambazo umegundua baada ya kuisoma Biblia ^kiundani.^ I am more than eager kuzifahamu.

3. ^Inashindikana nini kuifanya miujiza sasa hivi kama wakati wa zamani?^ I believe miujiza, countless, enormous, fascinating and terrific are happening even of now as I am typing these little words. And they will continue occurring ^ad infinitum.^
Swali lako la kwanza nitalitolea ufafanuzi Kama ifuatavyo.. mkuu kuhusu Mungu nachohitaji ni kuhusu kuthibitika uwepo wake na Kuna tuswali swali fulani ambapo ningependa nimuhoji yeye na sio nyinyi waumini wake maana kwenu nishauliza na hamna majibu! Kwanza mpk Leo hamjaweza kuthibitisha uwepo wake! Kitu ambacho nimetoka na conclusion kuwa heri hilo swali kumuuliza yeye kuliko nyinyi,kwani kwa mujibu wa vitabu vyenu ni kuwa yeye anauwezo wote so nafikiri hili ni dogo kwake kuliko kujisumbua sisi tunaohangaika hata na korona!.
Kama aliweza kuwajibu watu wale wa vitabuni kwanini hivi sasa asifanye hivyo au ndo kusema sahivi waumini wake mliobaki mnamidhambi mingi kiasi hawezi hata kujisumbua kujibu na wakati hajibu kwa ubaya Bali kuokoa..??!


Swali lako lako la pili ni Kuwa biblia sio kitabu ambacho kimejibu maswali yote kuhusu ulimwengu na Kuna mambo mtambuka mengi ambapo nyinyi huwa mnayajibu kwa kusema fumbo la imani! Mfano wa swala mtambuka ni kuhusu Kuwa mnakubali Kuwa Mungu ni ni muumba na chanzo cha kila kitu na wakati huohuo mnakataa Kuwa yeye ni chanzo cha ubaya isipokuwa wema tu!. Hichi kitu kinaleta wasiwasi juu ya uweza wake maana Kama shetani ndio chanzo cha ubaya na Mungu hakuumba ubaya au hana sifa ya ubaya basi Kama ilitokea kwa shetani huo ubaya basi Mungu si chanzo cha kila kitu! Au Kuna vitu hafahamu vilipotoka!. Sifa moja wapo binafsi ninavyofahamu Mungu anayo ni Kuwa na wema na ubaya vyote anavyo.
Biblia ni maandiko tu haitoi uthibitisho moja kwa moja juu ya uwezo wa Mungu. Kwenye hili ninamengi ya kuandika lkn pia jibu la swali la kwanza linaweza kujibu na hili la pili Kama ukitafakari vizuri.

La tatu nafikiri sio swali it's what you believe. Lkn ni muhimu pia kukipima unachokiamini ni kaushauri tu..😜
 
Mtaachaje kuwa atheist wakati bange na viroba vimeshaharibu akili zenu hadi uwezo wa kufikiri haupo tena?
Someni Zaburi 14: 1
 
Back
Top Bottom