1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
umefungua PMNgoja nikutumie mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umefungua PMNgoja nikutumie mkuu
AISeeeee na mimi nitumie bhasi!!Ngoja nikutumie mkuu
Na mmNgoja nikutumie mkuu
Mkuu naona leo "" tusio tumiwaga MSG PM tumekumbukwa ..daaahh """Me mchawi wangu huyu hearly ndio anabana nyota yangu tu namlia timing tu!.
Lakini usipende PMs nilipata moja eti mtu anajifanya alikosea wa kumtumia sms nikajiuliza mpaka una click jina langu bado tu hujajua ni nani unamtaka!..
Ha hahaa hahaUandishi huo wa 'msg' itakuwa ni empty set tu itakayo kuelewa..
Nashangaa PM nilipata moja tu nayo mtu kakosea kumtumia sms mtu 😀Mkuu naona leo "" tusio tumiwaga MSG PM tumekumbukwa ..daaahh """
wewe unatucheka tu hapa...na dhani uwanja wko wa Pm utakuwa umejaa aiseeeNashangaa PM nilipata moja tu nayo mtu kakosea kumtumia sms mtu 😀
Nitumie na mimi,ila mr ndumba ndumba asijueNgoja nikutumie mkuu
Nafikiria kuifunga haina matumizi kabisaa!wewe unatucheka tu hapa...na dhani uwanja wko wa Pm utakuwa umejaa aiseee
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Uandishi huo wa 'msg' itakuwa ni empty set tu itakayo kuelewa..
Kama nilivyomteka Melvin wanguWatu tuna Id fake na humu kwenye majukwaa tunajiachia kupita kiasi! Pm za mapenzi za nn!!!? Nani ana uhakika kuwa demiss ni ke? Una uhakika upi kama Gentamycin sio wale wasojulikana? Ukitaka hayo nenda fb uko mkuu wapo wengi wanadangika kule humu utaishia kutekwa tu utapokuta MAMA SABRINA ni Dume la haja! Au SKY ECLAT ni mtu wa kitengo!! Endekeza pm utakuja na mrejesho ukifanikiwa kutoka hai.
Kama ulivyoniteka ukanipa vitu vya moto moto usiku kucha.Kama nilivyomteka Melvin wangu