Wale ambao tangia ujiunge na jamiiforums hujawahi kutumiwa MSG tukutane hapa..

Me mchawi wangu huyu hearly ndio anabana nyota yangu tu namlia timing tu!.
Lakini usipende PMs nilipata moja eti mtu anajifanya alikosea wa kumtumia sms nikajiuliza mpaka una click jina langu bado tu hujajua ni nani unamtaka!..
 
Me mchawi wangu huyu hearly ndio anabana nyota yangu tu namlia timing tu!.
Lakini usipende PMs nilipata moja eti mtu anajifanya alikosea wa kumtumia sms nikajiuliza mpaka una click jina langu bado tu hujajua ni nani unamtaka!..
Mkuu naona leo "" tusio tumiwaga MSG PM tumekumbukwa ..daaahh """
 
Sisi wengine "" sijui tulilala na bundi "". maana mpaka tumeshasahau matumizi ya hicho kitufe cha PM ""......
 
Kama nilivyomteka Melvin wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…