Wale ambao tangia ujiunge na jamiiforums hujawahi kutumiwa MSG tukutane hapa..

Wale ambao tangia ujiunge na jamiiforums hujawahi kutumiwa MSG tukutane hapa..

Waziri wa Kaskazini

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
7,981
Reaction score
17,743
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.

Nimejiunga JF kama miaka 3 inakata sijapokea msg yoyote hadi nimejishtukia,

Kuna member ambae ana mwaka zaidi ya mmoja na hajawahi kutumiwa msg pm tangia ajiunge?
9_pm_mainlogo_8.jpg


1*Vz8WlGn0eUZK9VLADKDVew.jpeg
 
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
Acheni sie wengine wenye mazali yetu tuendelee kuwatafuna taratibu kuku wa JF kupitia hizo PM...
 
Back
Top Bottom