Wale ambao toka ujiunge jf hujawahi kukutana na member yoyote

Nadhani hii inatokea kwa baadhi ya watu Mkuu kwani kwangu mpaka sasa kwa wale watu kadhaa nilioonana nao bado haijawahi kunitokea.

Sa sijui hawana Ma Id mengine mengine πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€” au wananistahi. 🀣🀣
hahaha!!

uko poa mtani
 
Hili jambo kidogo linanishagaza sana wakuu, hivi inakuwaje hadi watu wanaanza kuwasiliana huko PM..???
Na ili ufike PM, unatakiwa kuingia kwenye jukwaa gani...!!!
Dahhhh, haya mambo mbona yananishangaza sana wallah....
Muogope Mungu brother [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi nyie watu mnaingia muda gani JF, [emoji16][emoji16]
 
Nipo hapa! Kila siku naimba,sitakuja kujulikana humu yaani siku nikijulikana na member hata mmoja Najiondoa kabisaaa humu.
 
Ni kweli mkuu. Hata mimi naota nikutane na @Shadeeya,amenifurahisha kuwa Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…