Wale ambao toka ujiunge jf hujawahi kukutana na member yoyote

Yaani sio tu kuonana mimi huu ni mwaka wangu wa 8 jf nikitumia id nilioacha baada ya kufungua hii sijawahi hata kum PM mdada yeyote wa JF ila ninavyoona watu wanavyochakatana baada ya kukutana pm, mpaka nastuka.
 
Duuuh...! Anaweza akawa yeye mkuu
 
Wema wapo wengi tu humu mkuu. Humu ndio kisima cha maarifa kimo. Nazungumzia sana walioumizana huko PM mkuu
 
Yaani sio tu kuonana mimi huu ni mwaka wangu wa 8 jf nikitumia id nilioacha baada ya kufungua hii sijawahi hata kum PM mdada yeyote wa JF ila ninavyoona watu wanavyochakatana baada ya kukutana pm, mpaka nastuka.
Na wewe umestukia ile michakato mkuu?
 
Namini nimekutana nao wengi tu,kwakua members wa JF ndio hao hao tunaoishi nao huko mitaani pamoja na kuhusiana nao kwa mambo mengi tu, kikazi , biashara na huduma nyinginezo za kijamii.
 
Hakuna haja ya kuulizana wala Kujua. Everybody should mind his damn business.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…