Unajuaje unaokutana nao mtaani hawapo JF?Wale ambao toka ujiunge hujawahi kukutana uso kwa uso na member yote humu na wala humjui member yoyote humu,hebu tukuje tujuane hapa. Nimeleta huu uzi baada ya karibia wiki lote hili kuona kilio ni PM,huko PM kumechafuka. Hasa wakibonga PM wanaonana na kupeana vya kupeana. Japo mitaani nako viko nako vingi viUKIMWI,lakini ndugu zanguni nawaaasa hizi PM za humu inaonyesha ni hatari kuliko hatari unayoifikiri. Wiki hili limekuwa la vilio kuhusu kupeana vya kupeana baada ya PM. Uzi tayari
Ok,nitaanza na wewe x-mass hii tukutane maeneo.Usitamani mkuu,fanya kweli ukutane nao
Tunaomba mods waweke pm zao hadharan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuanzia walivyojiunga mpaka leo
............[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha tu sijui watamjibu nini Mungu
Afadhali unielekeze mzee mwenzangu, maana hapa naona vijana wanaweza nipoteza njia wallah...Njoo. Pm ntakuelekeza
Ok,nitaanza na wewe x-mass hii tukutane maeneo.
At least we have the luxury of exchanging views on any subject anonymously, does not matter how intimate it is, no time wasting and you don't 've to look over the shoulder either.Nothing in JF you cant get offline!
Nadhan hapana sema mmoja kanizalia ka babygirl.Vipi wewe hawajakuachia maumivu mkuu?
Nitaku PM mkuu... Najua wewe itakuwa unaishi dar. Mimi ni kama member wengine wachache toka mikoani.Deal!
Maeneo yapi sasa?
Nadhan hapana sema mmoja kanizalia ka babygirl.
Pm hazina shida kinachotokea nje ya pm na jf ndo shinda inakoanzia huko
@Mzigua90 acha mambo yako nitakutag mahali jamaa anasema mbona hukuogopa kudate na id zaid 3 ambazo anazifahamu yyUsikubali kukutana nao mwaya. Si umeona huku wengi psychopath eti
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]