Wale ambao toka ujiunge jf hujawahi kukutana na member yoyote

Waongo ksbis hao
 
Embu nitag nione. Sema ID 3 mweee. Ama kweli JF watu wanakujua zaidi ya ujijuavyo
@Mzigua90 acha mambo yako nitakutag mahali jamaa anasema mbona hukuogopa kudate na id zaid 3 ambazo anazifahamu yy
 
At least we have the luxury of exchanging views on any subject anonymously, does not matter how intimate it is, no time wasting and you don't 've to look over the shoulder either.

Nafikiri umenitafsiri kwa context tofauti!

Nimesema hivyo kuonesha kwamba sio lazima ukutane na mtu kupata huduma fulani maana offline zipo!

JF ni mijadala moto moto tu hakuna haja ya ku-get personal na watu mpaka kulalana na kujuana majina na sura na kadhalika!

Nilimaanisha kwa context hiyo!

JF ni tunapata mijadala,I can give them that!
 
Mwenyewe nimekutania mwenza. Kuna watu wema sana jamani. Basi tu wanachafuliwa na wachache wanaotaka kugeuza huku sehemu yao ya kuonyesha uanaume na uanamke kwa kubadili sketi na suruali na kuanikana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenza natania bwana, wapo watu ninaofahamiana nao humu na 90% ni wastaarabu kabisa
 
Wale walionana si unaona wanalia na leo Ni siku ya UKIMWI dunian
 
Sasa watu kama ninyi ndio mnafanya watu waogope kuonana na watu hamjui kuheshimu privacy za watu. Hivi kwa mfano kama mlionana kweli na yeye hataki ijulikane kuwa mlionana si unamletea tabu?
Kwanini usitake watu wajue ulionana na mimi? Kwangu nadhani wote wana matatizo.
 
Eheeeee...! Tena we dogo under 25 ndio nilikuwa nakutafuta saaaana. Bora umejitambua,usimame na msimamo huo huo. Wewe umejitambua,lakini nataka nikuambie wenzio wengi hiyo age wanajitupia humo,hawajali cha umri. Chunga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…