Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

anhaaaa..kumbe "" basi hata mimi sijawahi kumkimbia mwanamke baada ya kumla chiu
 
Shem kausha unanitia aibu unapojibizana na mtu usiemjua fata nyayo kama za Mr Tunguli. Hana shida hapa mpaka mwenyewe live.
Kuna watu wanatiaga kichefu chefu anaongea maneno machafu halafu hamjuani siku paa dada yake sijui
watasema nini mpaka unajikuta umetoa maneno mabaya baadaye najutia nafsi yangu
 
Huyo dada alimuonyesha jinsi watu wanavyoishi mjini si kushangaa maghorofa, aibu sasa halafu mkanda nje! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Dada yuko kazini anamletea issue za kumkopa papuchi weeee
 
Hamna kitu kinatia mawazo baada ya kumaliza kale kamchezo unawaza utamuachaje demu na mshiko wakti raha mumepata wote pia unatoa pesa halfu we unabaki mweupe ,nikifikiriaga hivyo tu huwa naishiw kuchukua wale madem Malaya huwa napamban na zubeda wangu tu was kisabato kupunguza nyege tu yeye hana makuu huwa anatak naulii tu na anathubut kunambia usitumie pesa sana coz hujatimiza malengo yako ya kimaisha basi nasema mungu asante kwa kunipa hiki kiumbe chenye huruma na wallet yangu.
 
Mimi nikisema niweke vituko vya walimu hakiii sitamalizaaa maaana toka naanza form 1 Mimi na kukomesha walimu nimesoma shule 5 sababu ya kukimbia walimu [emoji3][emoji3][emoji3]
Du Demiss huyo
 
Ila wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga
Umenena vyema aisee Naona ni so dirty ... Mwanamke kuwa na wanaume tofauti tofauti sio kabisa ...
 
Nimesoma reply zote ila sijaona mwanamke aliekubali kwamba kaliwa AFU KAKIMBIWA


Eti wote wametukimbia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa ujanja gaaan
 
sasa je angemuacha kavu bila mia?...hyo inamtosha kumtoa point a.....b
Kwani wewe unadhani wanawake hawana au hawatembei na pesa? Buda these days dada zetu wako vizuri sanasana unaokuta kwa clubs, nje kapaki ndinga kali na kwa account unakuta ana 50+million,,,,sasa wewe kumnunulia wines na savanna usione unamiliki dunia!!!
Mfano :niliwahi kwenda High spirits kuna mdada alinikanyaga bahat mbaya na heels,,, niliumia sana and she noticed,, akarudi kuniomba msamaha, later during the night akarudi kunicheki, Mzee tukafahamiana,,, in reality she is a loaded independent lady who happens to be the daughter of one of top hapa kwetu and currently kawa mshikaji wangu. (we need the connections ayt)
Sasa imagine ningemtukana?....... Heshimu wanawake
 
Hahahh!!..hata mande enzi hizo hujapiga!?[emoji2]
hahaaa...Jamaa yngu wewe ulikuwa noma sana " yaani sekta zote hzo ulipitia...daahh umenikumbusha mbali sana...kuna Jamaa zangu walimleweshaga malaya mmoja hivi wakaenda kumpiga mtungo "" kumbe bwana yule demu alikuwaga anatoka na mzungu mmoja hivi ana dola zake mzungu akapata info kuwa demu wake katolewa sandakalawe "" basi akaenda o' bey kuchukuwa pira ...hahaaa wacha Jamaa wakusanywe kwenye difender kama chawa "
 
Nishawah kumtoroka demu asubaa ile naingy kwenye kosta kama kawa nkawah siti ya mbele kufika mbele kdg lahaula nae anasimamisha hy hy kosta hahaha nilichanganyikiwa nkajikuta namuambia dereva huyo haendi huyo.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimecheka sana[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Mimi nikisema niweke vituko vya walimu hakiii sitamalizaaa maaana toka naanza form 1 Mimi na kukomesha walimu nimesoma shule 5 sababu ya kukimbia walimu [emoji3][emoji3][emoji3]
walimu hao strategies zao zilikua mbovu shemeji wanaanzaje kukosa mwanafunzi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…