Pemba empire
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 467
- 1,339
- Thread starter
- #61
Heeh shem kwahiyo jamaa asingekua na dushe kubwa ingekuaje?
angekula mzigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heeh shem kwahiyo jamaa asingekua na dushe kubwa ingekuaje?
najua mzee...hiyo inaitwa jaa upgweBut mkuu hawa watu sio wa kuzoea kukimbia. Malaya ana akili sawa na panya road au mkorea mweusi. Nilishawahi shuhudia jamaa anavunjiwa chupa kichwani bar.. Dem anadai jamaa alimtoroka lodge baada ya kupiga
lol hatari snaHako kamtindo nimekafanya sana ila siku hizi nimeacha. Kamtindo hako ni kazuri kuwafanyia wale wadada wanaojiona sana, au waliokufanya uhangaike sana kuwapata. So unampeleka kiwanja una mla, anakunywa , halafu unaaga kama unaenda chooni....huyooo safari na mguu, so anawaita wajomba zake ndo wanamlipia. game over. ila jiandae na vichambo
ana experience sema jinsi nilivyojiweka na ile gari akajua nina mawe..siunajua wadada zetu nao kwa dinga hawachomokiHuyo hana experience, wanadaigi hela kabla ya yotee
[emoji23][emoji23] mwenyewe kishakubari kua angeliwaangekula mzigo
Siishi ni mengi sana[emoji23][emoji23] huishi matukio wewe
Yeaaah unapima [emoji366] plug[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] weeeee. Usione umekaa na mwanamke anakushika shika mapaja na mjegehe ukafikiri anakupandisha mzuka[emoji23] [emoji23] [emoji23] wengine ni kupima hii ngoma taiweza???
Embu weka akiba utakua unatusimulia taratibu shemSiishi ni mengi sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sawaEmbu weka akiba utakua unatusimulia taratibu shem
duh!eti plug ni hataree aisee!Jamaaaa ana plug Kama mkono WA mtoto wewe hiyo lazima ukimbieee kuna wanaume wamebarikiwa [emoji366] plug Matata unaweza kuhisi anakutoboa lazima utoke ndukiiiii
Hatar sana!Nimekumbuka kuna jamaa yangu aliwahi enda na dem Hotel, tukachukua room double sasa nikiwa kitandani kwangu naskia jamaa anamwambia dem si uweke, dem kakazana weka wewe, mwisho wa siku jamaa kamwambia huyo dem shika uweke wewe dem kamwambia mbona siioni mi naona mkono, kumbe hicho anachokiita mkono ndo mashine yenyewe.
Sasa story yako imenikumbusha that day Mrs Jr.[emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji13]duh!eti plug ni hataree aisee!
hiyo inaitwa run for your life, sex was not meant to be hard painful anyway, ulichukua maamuzi sahihi mkuu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji13]
Kweli kabisaaaahiyo inaitwa run for your life, sex was not meant to be hard painful anyway, ulichukua maamuzi sahihi mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejua kunichekeshaNakumbuka mwaka 2016 tukiwa Club 7 Kama sikosei kibo complex tegeta pale tunacheza Muziki na marafiki zangu akaja njembaa moja jeusi limepanda hewani akaanza kunishobokea analeta savvana hapo kichwani nimeshamoka na konyagi nimelewaa tukaanza kunywa anawanunulia na marafiki zangu wanagonga c lite
Nikienda kucheza na mtu anazingua balaa si unajua Club watu wanapenda kudandiana nyuma nyumaa wanaume basi akasema anataka kuondoka na mm nikakubali ili tuendelee kunywa ile inafika mida ya saa 9akasema njoo ukae kuna masofaa mle ndani anipapase papase chura nikakubali ndo pale nikapata nafasi ya kupima Plug wanaume mnaelewa dushe weee ile naweka mkono kitu kimesimama anabonge la blug kama mkono Wa mtoto nikajikaza sana.
Nikamwambia ngoja nicheze kidogo ikabid niwatonye marafiki zangu tukimbie mmoja mmoja tukutane chini tulikopaki gari mm nitakuwa wa mwisho kutoroka basi plan ikaanza.
Nikarud nikamwambia akalete bia ambayo tunasemaga one for the road na mi naenda kukojoa weeeee alivyojichanganya nikatoka nduki mpaka kwenye lift haooo tukaenda kuwasha kispasho chetu mpaka Mbagala rangi 3 njiani tunacheka balaaa tunafika home kispasho kimechemka ikabidi tukimwagie maji kikafukaaa mpaka moshiiiiiii