Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Hako kamtindo nimekafanya sana ila siku hizi nimeacha. Kamtindo hako ni kazuri kuwafanyia wale wadada wanaojiona sana, au waliokufanya uhangaike sana kuwapata. So unampeleka kiwanja una mla, anakunywa , halafu unaaga kama unaenda chooni....huyooo safari na mguu, so anawaita wajomba zake ndo wanamlipia. game over. ila jiandae na vichambo
 
Hako kamtindo nimekafanya sana ila siku hizi nimeacha. Kamtindo hako ni kazuri kuwafanyia wale wadada wanaojiona sana, au waliokufanya uhangaike sana kuwapata. So unampeleka kiwanja una mla, anakunywa , halafu unaaga kama unaenda chooni....huyooo safari na mguu, so anawaita wajomba zake ndo wanamlipia. game over. ila jiandae na vichambo
lol hatari sna
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] weeeee. Usione umekaa na mwanamke anakushika shika mapaja na mjegehe ukafikiri anakupandisha mzuka[emoji23] [emoji23] [emoji23] wengine ni kupima hii ngoma taiweza???
Yeaaah unapima [emoji366] plug
 
Hii michezo Raha! Yake ufanikiwe me muhanga ya hii michezo
 
Nimekumbuka kuna jamaa yangu aliwahi enda na dem Hotel, tukachukua room double sasa nikiwa kitandani kwangu naskia jamaa anamwambia dem si uweke, dem kakazana weka wewe, mwisho wa siku jamaa kamwambia huyo dem shika uweke wewe dem kamwambia mbona siioni mi naona mkono, kumbe hicho anachokiita mkono ndo mashine yenyewe.
Sasa story yako imenikumbusha that day Mrs Jr.[emoji23]
Hatar sana!
 
Nyakati fulani nilikua sehemu moja inaitwa Hungumalwa-Mwanza, basi weekend nikasema niende town. Kuna club moja inaitwa Rockbottom. Nikaparty sana nikamuona mtt mmoja mkali sana, basi nikajoin, tukapiga mtungi hadi saa 10, mimi hali niko hoi, na asubuhi nilipashwa kufanya manunuzi fulani, basi nikamchomoa 'mrembo', tukafika hoteli moja inaitwa Isamo, Room kuambiwa imebaki suit tu 50, nikabargain na receptionist kwa hoja kua time hii almost kumekucha, nikaclear 30, nikabaki na 40. Basi yakajili yakujili room , sema niligundua yule binti amelewa sana. Nimestuka saa 2 asubuhi, 'mrembo' kazima bado. Basi nikapiga maji, kuondoka nikamuwekea simu yake charge(last night alicomplain haikua na charge na hakua na charger), nikamuachia 20 mezani na namb yangu kwenye karatasi. Mchana wake binti karuka hewani , haamini kilichojiri..hadi leo ni 'mshkaji' wangu sana.. Unfortunately nilinote ni married woman sema ana frastuations za ndoa..
 
Nakumbuka mwaka 2016 tukiwa Club 7 Kama sikosei kibo complex tegeta pale tunacheza Muziki na marafiki zangu akaja njembaa moja jeusi limepanda hewani akaanza kunishobokea analeta savvana hapo kichwani nimeshamoka na konyagi nimelewaa tukaanza kunywa anawanunulia na marafiki zangu wanagonga c lite
Nikienda kucheza na mtu anazingua balaa si unajua Club watu wanapenda kudandiana nyuma nyumaa wanaume basi akasema anataka kuondoka na mm nikakubali ili tuendelee kunywa ile inafika mida ya saa 9akasema njoo ukae kuna masofaa mle ndani anipapase papase chura nikakubali ndo pale nikapata nafasi ya kupima Plug wanaume mnaelewa dushe weee ile naweka mkono kitu kimesimama anabonge la blug kama mkono Wa mtoto nikajikaza sana.
Nikamwambia ngoja nicheze kidogo ikabid niwatonye marafiki zangu tukimbie mmoja mmoja tukutane chini tulikopaki gari mm nitakuwa wa mwisho kutoroka basi plan ikaanza.
Nikarud nikamwambia akalete bia ambayo tunasemaga one for the road na mi naenda kukojoa weeeee alivyojichanganya nikatoka nduki mpaka kwenye lift haooo tukaenda kuwasha kispasho chetu mpaka Mbagala rangi 3 njiani tunacheka balaaa tunafika home kispasho kimechemka ikabidi tukimwagie maji kikafukaaa mpaka moshiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejua kunichekesha
 
Back
Top Bottom