Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Shem za asubuhi[emoji8][emoji13][emoji13]You don’t have to, tuko hapa kuburudika. I will pay you a visit one day
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shem za asubuhi[emoji8][emoji13][emoji13]You don’t have to, tuko hapa kuburudika. I will pay you a visit one day
Shem za asubuhi[emoji8][emoji13][emoji13]
Lazimaaa utokeee nduki maaaaaa nilisema siku ile kukimbia hakujawahi muacha mtu salama sema tunajificha tuHaaaa best sikuwezi unapima uzito kwanza duu, kuna binti aliwahi nisimulia aliondoka na mbaba huyo kufika ndani yule me siakachojoa ile kuona tu eti mam yangu moyo wangu paaa[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] kaomba kwenda chooni mbio hizo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]looh usinijaze upepooo maaaDemiss sio wamchezo mchezo ukioa huyo anatulia maana kona zote anazijua
Mimi nikisema niweke vituko vya walimu hakiii sitamalizaaa maaana toka naanza form 1 Mimi na kukomesha walimu nimesoma shule 5 sababu ya kukimbia walimu [emoji3][emoji3][emoji3]Maisha haya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikiwa form3, kaja teacher wa math, na tuition zake kumbe anamezea mate kanipanga vizuri mpaka hela ya kula ili niwahi kutoka nyumbani nami nilivyokuwa mkimya nikakubali kwa tabasamu safi, kesho yake niliwahi darasani badala ya huko, wanafunzi wanaulizana mbona teacher leo kachelewa mie nacheka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] najua kabisa nasubiliwa huko kaja kachelewa macho mekundu na alivyokuwa mrefu mwembamba mweusi nachekea chini chini aliishia kunipiga na chaki [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]usinijaze upepoKwakweli Demiss ni wife material mana hakuna kigeni kwake [emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yaani hakuna kigeni kwake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Looh shem hayo maisha ya zaman nipo okay saiv bhnHuyo sasa akiamua kutulia anatulia kweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwakweli Demiss ni wife material mana hakuna kigeni kwake [emoji23][emoji23]
MmmmmhSalama shemeji, vipi hali?
Funguka siku ile ulivyonikimbiaHahahahahahaha.
Safi nambieSalama shemeji, vipi hali?
Mtonyo au nauli. Mtonyo hauwezi kuwa 20k bwanahuo ndo ushikaji...unakula na bado unamuachia na contacts...na mtonyo.
Wanaume aliyewaroga ameshakufaaa kitamboooIla wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga
Mmmmmh
sasa je angemuacha kavu bila mia?...hyo inamtosha kumtoa point a.....bMtonyo au nauli. Mtonyo hauwezi kuwa 20k bwana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwakweli Demiss ni wife material mana hakuna kigeni kwake [emoji23][emoji23]
Kununua mwanamke ni ugonjwa wa akili, bora kwa wenzetu wale wanajiuza ni professional kabisa ila kibongo bongo hapa,wanajifuta na tishu anarudi kula kichwa kingineIla wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga
Tena sijui kwanini aliwarogea papa.Wanaume aliyewaroga ameshakufaaa kitambooo