Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Lazimaaa utokeee nduki maaaaaa nilisema siku ile kukimbia hakujawahi muacha mtu salama sema tunajificha tu
 
Mimi nikisema niweke vituko vya walimu hakiii sitamalizaaa maaana toka naanza form 1 Mimi na kukomesha walimu nimesoma shule 5 sababu ya kukimbia walimu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yaani hakuna kigeni kwake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ila wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga
Wanaume aliyewaroga ameshakufaaa kitambooo
 
Ila wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga
Kununua mwanamke ni ugonjwa wa akili, bora kwa wenzetu wale wanajiuza ni professional kabisa ila kibongo bongo hapa,wanajifuta na tishu anarudi kula kichwa kingine

Serekali iangalie hii biashara ione itawawezesha na kuwaelimisha vip hao kina dada waweze kufanya kazi zao kwa uweledi wa hali ya juu[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…