Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Hahahahaaa Malaya noma. Unanikumbusha miaka ya 2009/2010 hivi wakati huo tunaanza kazi kigeto kimoja Basi maafisa ndo sisi mabishoo balaa.

Sasa Kuna jamaa yangu alikua hajapanga bado kazi yake kudandia tunazunguka kulala kila sehemu Kama tupo hostel bado. Mie geto kwangu nikipata mlupo nampiga exile anaenda kulala kwa mwana mwingine na yy akipata bas nampisha. Sasa weekend Moja kaokota Malaya nikampisha bwana wanekubaliana fresh atamtoa 30. Kumbe mwana ule usiku gambe na Nini kamaliza hela yote kabakia na Kama buku 4 tu. Kapiga mzigo fresh kamgalagaza dada wa watu kufika saa11 Dem anataka chake jamaa kaanza saundi Mara mpesa imefanyaje sijui Mara subiria kukuche zogo zogo kweli nimekuja kusimulia na majiran zangu. Mwana ananiambia Dem Hadi alimsachi ndo kamkuta na buku4 tu Dem kamaindi balaa humo ndani hataki kutoka

Sasa mida ya saa Moja asubuhi hivi mwana kanipigia simu mi mbio nikaokoe jahazi mshkaji akafanya kosa akaenda uwani. Choo Cha nje daaah ile anarudi anakuta Dem kashasepa na mie nafika nakuta Dem katuachia bonge la kimba la mavi kitandani Yani la motooo kakwara na ile buku nne yake

Hahahhaaaa tulibaki kucheka tu kwa ule mzigo Yani Dem Kama alijiandaa siku nne kitu inaweza kujaa ndoo Yani alijikamua yote ile

Tukaishia kuchoma Moto shuka zangu na harufu kwenye kitanda ilikaa Kama wiki hivi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]huyo nomaa mzeew aaha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi niliwahi mkimbia mtu ili alipe yeye hela ya guest, aisee kumbe wakatia kaaga kuwa anaenda omba taulo lingine mim nikajua ndiyo mwaya wa kutoroka kumbe kabeba na wallet yangu, sikuwa na habari basi nkaona ndiyo mwanya wa kumwacha kwenye mataa. Hahaaha ile natokea mlango mwingine tunakutana uso kwa uso naye anasepa mkononi anasachi ile wallet huku akisonya “jitu lenyewe halina kitu”, mara paap nami nkajaa...... heeheheh hapo kilichoendelea siwezi simulia. Ila was those days wakati chuo kikuu bado ni chuo kikuu
 
Kuna mkari mmoja wa kukimbia sijaona story yake hapa!.. hearly hebu njoo simulia ya mtoto whyt
 
hahaaaa mkuu nasubiri kwanza scenario yko "" kisha ndio namimi nianze kutiririka"" Fanya hivyo ili unibust
Me sijawahi kimbia mwanamke malipo lakini kuchezesha vibao kawaida!.. Labda na michezo ya kubeba wawili wawili mpaka nikienda kiwanja kuna ma alwatan wakawa wananijua!.. Matei na Rainbow au nikitaka kupata majimama naenda Kito bar huko dom nimezisumbua sana!.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wewe ndo mwanaume mbovu Kwanzaa hujatahiriwa na hilo govii lako na mkono wa swetaaaa nenda Kwanzaa ujandoni ndo uje hapaaa mngese wewe falllla mpka wakutie madole ndo akili itakukaaa sawa tena inakuuma Sana hii I'd ya demiss poleeee sana naona ulitaman siku moja unitongoze ila wapiiii umeamua kuja na gia nyingine koloooooo wewe
Shem kausha unanitia aibu unapojibizana na mtu usiemjua fata nyayo kama za Mr Tunguli. Hana shida hapa mpaka mwenyewe live.
 
Scenario 1;

Mwaka 2016, Novemba, Dar es Salaam, Sinza, lodge ya Twiga:

Tulikuwepo tupo mitaa ya Katalaunya pale na wanangu km watano hivi tunakula maji/pombe za kutosha. Ilivyofika mishale ya saa 3 usiku, kuna manzi mmoja alikuwepo anawinda pale anakunywa soda..mzuri kishenzi..zigo haswa,, nikamuita akatujoin..siunajua tena malaya wa Sinza anajifanya anasoma Ardhi, kumbe anawinda..Anajifanya anaongea kikristo tu (english) ili tumuamini anasoma kweli ili atupige vizuri. Mishale ya saa 5unusu tukaingia calabash pale..tukapiga za kutosha sana,, demu kala savanah kawaka kishenzi. Mfukoni nikaanza kuyumba..nikabakia na 50 tu, wana nao kila mmoja ana ratiba nying siunajua weekend tena.. huyu anataka kwenda triple 777, mwingine 40 40 vurugu tupu ilimradi kila mtu apate wa kuosha rungu. Nikamwambia msomi fake wa Ardhi twende zetu tukapumzike siye. Tukaingia Lufungila kituoni, km twaja meeda tukaingia opposite na kanisa la kakobe..Kitu Twiga Lodge hiyo..Kila mtu kawaka.. Mtoto kazama chumbani, Kabla sijamsaula,demu kanichana mm sipigwagi bure..nikamuuliza unataka sh ngap..nataka laki 2, nikasema No, ntakupa, laki na nusu Kakasema Poa. baada ya kulipa chumba, Mfukoni nimebakia na elfu 10..Basi tumetafunana kwelikweli...Saa 2 Asubuhi nikamstuka, nikavaa fasta..nikaiweka ile elfu 10 juu ya kitanda ili akimka tu aione itakuwa nauli yake, nikachukua funguo ya gari nikasepa...

Nilimkimbia kwakuwa that night sikuwa na pesa..but miye nipo mwaminifu sana tukikubaliana.. sema laki na ns nayo kubwa sana kwa 1 night labda km unapewa na kashata..hahahhhah.. Samahani sana mwanafunzi fake wa Ardhi..sema kwa kikristo/english kile mtu anaweza ingia kingi.

Ebu tupe na wewe experience YAKO vip hujawahi kumkimbia mtu bar..au lodge kutokana na bili kuwa kubwa..

na wanawake ambao unakimbiaga madanga kabla halijakula..ebu tiririka hapa au umekula sana za mwanaume bado unamkwepa funguka
Mkuu nina uhakika kabisa wewe umeshawazoea wale wa short time buku tano, hawa wa laki kwenda mbele uliingia cha kike sio type yako kabisa.
 
Ila wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga
Lini wakawaza hilo wanakwambia wasuza rungu basi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hapana kabisa shem mimi nina kinyaa sana ata nikijua tu demu ana mtu mwingine huwa napata wakati mgumu kurukanae
[emoji16][emoji16][emoji16] wengine nikama gari ya taka kila kitu
 
Nimekumbuka kuna mkaka mmoja wa mjini. Tapeli kishenzi. Ukimuona utasema Mungu amekupa mume wa maisha yako. Kumbe amekuja kukudanga hicho ulichonacho mgeiane. Sasa kazoea utapeli akaenda club akapata mwanamke wakaenda hotel. Asubuhi anamwambia atamtumia Tigo pesa. Dada wa watu akipiga simu anapokelea chekundu. Siku paap wakakumbana 777. Dada alimjazia watu. Akamwambia leo utanilipa hela yangu hapo hana hata 10 bia zenyewe ananunuliwa. Kuona aibu inazidi washkaji zake wakajichanga wakamlipia 50k. Kimbia mtu ila kuwa makini
Huyo dada alimuonyesha jinsi watu wanavyoishi mjini si kushangaa maghorofa, aibu sasa halafu mkanda nje! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ohoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] GeoMex mkaambulia mzigo shuka mlizichomea wapi haaa haa pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom