Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ninaamini pamoja na zoezi hili kupangwa vema na serekali yetu lakini bado nadhani wapo ambao zoezi hili litashindwa kuwagusa kutokana na pengine shughuli zao, aidha wengine kuwa single katika nyumba fulani au kwa namna yoyote ile kutokana na shughuli za kibinadamu, je watu hawa waelekee wapi? Ili waweza kuhesabiwa.
TUJITOKEZE KUHESABIWA.
23/08/2022.
TUJITOKEZE KUHESABIWA.
23/08/2022.