Mayor Slum
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 760
- 1,150
Kutokana hili tatizo la ajira kuzidi kuongezeka hapa nchini na kuacha baadhi ya Graduate wakizagaa tu mtaani, kuzurula mtaani, kukaa nyumbani tu naomba mtu anisaidie kutupa njia au mbinu mlizotumia kuweza kujiajiri.
Graduate wengi sana wapo mtaani kwa sasa hawajaweza kujiajiri, wengine bado wanasumbuliwa na mawazo (stress) zaidi ya mwaka wa tatu sasa hivi. Je, nyie mlioweza kujiajiri mlianzaje hadi mkafanikiwa kujiajiri ?
Ni njia (mbinu) gani mlitumia hadi mkaweza kujiajiri?
++Kama vile kupata mtaji(mlianza na mtaji wa shingapi?)
++Biashara mlizo anza nazo
+++Changamoto
+++ Kukwepa aibu na mengineyoo
Naomba mtuambie jinsi mlivyo fanya hili litasaidia sana graduate waweze kupata fikra mpya na waweze kujiajiri huku wanatafuta ajira wengine wajiajiri kabisa kuliko kukaa tu nyumbani, kuzurula mtaani, kushinda kwenye mitandao.
Graduate wengi sana wapo mtaani kwa sasa hawajaweza kujiajiri, wengine bado wanasumbuliwa na mawazo (stress) zaidi ya mwaka wa tatu sasa hivi. Je, nyie mlioweza kujiajiri mlianzaje hadi mkafanikiwa kujiajiri ?
Ni njia (mbinu) gani mlitumia hadi mkaweza kujiajiri?
++Kama vile kupata mtaji(mlianza na mtaji wa shingapi?)
++Biashara mlizo anza nazo
+++Changamoto
+++ Kukwepa aibu na mengineyoo
Naomba mtuambie jinsi mlivyo fanya hili litasaidia sana graduate waweze kupata fikra mpya na waweze kujiajiri huku wanatafuta ajira wengine wajiajiri kabisa kuliko kukaa tu nyumbani, kuzurula mtaani, kushinda kwenye mitandao.