Akaja?Haaaa haaaa haa we hunatofauti na mie aiseee ila kuna mmoja kule badoo akanipa namba mara akaanza my ninaomba 5000, nilimshangaa maana nikimwangalia ni Mzuri na sio wa kuomba pesa hiyo, mie nikamtolea uvivu na kumwambia njoo lodge tukutane, maeneo yangu huwa pale simu2000 kuna lodge moja iko uchochoroni mpaka rahaa😛😛😛😛😛😛😛😛😛
Mkuu una undugu na Mani......ngoNimeshafika shemeji mpenzi eeeh
Unataka kamsaidi au unatoa kwaajili yako tuLabda nilete za kwqngu huyu jamaa hela hatoi
Kwanini mkuu...Mkuu una undugu na Mani......ngo
Natania tu
Nimeshtuka kidogo paroko anaweka beby nyingi kuliko neno la kiuparokoTeh teh teh nipo vizuri, nachunga na kuzilinda kondoo zangu kwa kiwango cha lami
Tupo dunia ya kileo, wewe endelea kubaki nyuma tu.Nimeshtuka kidogo paroko anaweka beby nyingi kuliko neno la kiuparoko
Leo sitakufafanulia nitakufafanulia siku nyingine mkuuKwanini mkuu...
Amen paroko hapo nimekwelewaTupo dunia ya kileo, wewe endelea kubaki nyuma tu.
Si ndio akili zenu.Usawa huu ujikute tu unalitumia lidemu la mtandaoni hela...na njaa yote hii.......utakuwa mwendawazimu, alafu unakuta nduguzo wana shida ya hata debe la mahindi....utajipa laana bure...........
Hii unaweza kunisaidia ufafanuzi wanguEeeh nambie shemeji umeshaomba talaka!
Haha poa poaLeo sitakufafanulia nitakufafanulia siku nyingine mkuu
Huyu mtoto nataka kumchukua bwana... kanisumbua miaka mingi saanaHii unaweza kunisaidia ufafanuzi wangu
Natania tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Shemeji sasa umeniitia nini.... ujue mimi nimekuja na fuso ili nikuchukue kabisa na mizigo yako.
Sijui kama utaweza kurudi shemeji...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Njoo unichukue tu, utanirudisha kiangazi kikianza.
Nitakuwa nimemsahau MO11 na husna muba pia atakuwa amerudi.Sijui kama utaweza kurudi shemeji...
Kwani utakuwa umesahau nini?