Sijakuelewa, unamaanisha?Cha mtu huliwa na mtu.
Kwqni moyo unaosukuma vitu na wa husna? Jibu haraka nifute hapa
Ooooh!! Kumbe!!Nakuuliza kwani moyo una(ku)sukuma si wangu? Iweje akuje mtu wa kukapangia kamoyo kangu kusukuma vingine?
Sasa je...Ooooh!! Kumbe!!
Hata njaa hazina huruma, acha tu tuwe yatima.Mabinti wa leo ukimtongoza tu anageuka yatima hapo hapo si wa online si wa offline wote njaa nje nje.
Imefika mahali ukipata manzi asiyekuomba pesa unakosa kujiamini.
Nitumie hela.Sasa je...
Mmh..Nitumie hela.
Mkuu umetisha nakupa kazi ya kusikiliza wimbo wa stamina na rich mavoko sikati tamaaNooma saana
Mwambie mtandao unasumbua ukitulia nitakutumia akikuuliza badae kama hauja tulia unamwambia niko mbali kidogo akikumbusha tena una mwambia niko kwenye kikaoMmh..
Hata sijakuingiza ndani umeanza b52 zako...
Huyu mjanjaaa.. anaweza kuwasiliana na huduma watejaMwambie mtandao unasumbua ukitulia nitakutumia akikuuliza badae kama hauja tulia unamwambia niko mbali kidogo akikumbusha tena una mwambia niko kwenye kikao
Ukimaliza huo wimbo utanishitua nikupe wa kumtumia yeye
Hizo mbinu zote hawezi kukuchomoa hata miaHuyu mjanjaaa.. anaweza kuwasiliana na huduma wateja
kwa nn ufute [emoji15]Cha mtu huliwa na mtu.
Kwqni moyo unaosukuma vitu na wa husna? Jibu haraka nifute hapa
[emoji23][emoji23][emoji23]duuu hatarii,,,mimi huwa nawapata wengi lakini umbali ndio tatizo,akisema yupo mwanza mm npo moro daa tutaishia kuchat tuuu
[emoji23][emoji23]wewe jamaa kibokoMi kuna demu mmoja nilimpata fb akaniambia nimtumie nauli aje! Unajua nilifanyaje? Nilitafuta no ya mkatishaji ticket nikamwambia kuna mtu atakuja akifika ntakutumia hela ya malipo ya nauli na gari likianza kuondoka mpatie konda 10,000 ampe njian kwa ajili ya chakula! Manzi aligoma nikampotezea
mm simtakiWewe ni mtabiri wa hali ya hewa?
Endeleeni tu kuambizana.
Utakuja kuniqoute wewe weeeweeekwa nn ufute [emoji15]
Sema naona kama hanipendi eehHizo mbinu zote hawezi kukuchomoa hata mia