Wale mabingwa wa kutongozana kwenye mitandao ya mahaba hebu tukutane hapa kupeana nondo

Mabinti wa leo ukimtongoza tu anageuka yatima hapo hapo si wa online si wa offline wote njaa nje nje.

Imefika mahali ukipata manzi asiyekuomba pesa unakosa kujiamini.
 
[emoji23][emoji23]wewe jamaa kiboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…