Wale mabingwa wa kutongozana kwenye mitandao ya mahaba hebu tukutane hapa kupeana nondo

Hamna kudanganyana hapa...Offline nitakupa pesa after MISSION COMPLETE.... Hamna cha bure hapa
 
Me siwezi kutongoza kwny simu,naweza live.
 
Daa kuna watu wana dhambii yaana mpaka kanunua boda boda kwa kuwatia watu changa LA machoo
 
Umetumaliza ndug.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]....umenikumbusha kunammoja niliwahi kumpata Mwanza maeneo ya busweru kidume nikamfungia safari mpaka pale alipo baada ya story nikataka mzigo akaniambia yupo ziara hapohapo akataka laki nikamzingua akaja kunishitaki humu jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…