Naweza ila pale ntakapoona anahitajiKwani wewe huwezi kumpa mwanaume
ooooh leo ndio unauza mazao mndali nikutakie kila la heri uuze salamaMi niko poa leo nimewasili mjini
Khaaa si useme nan kakuzuiaKwa ndani unawasha.
Nahisi kuna kitu unatakakusema
Aaaah mondray mbona mwoga kiasi hicho wanaume huwa hatuogopi we ukiahidiana nae fika eneo la tukio ila chukua tahadhaliBaba yangu aliniambia hivyo..
Unaweza hata kuumizwa bure kisa kujiamini
Sawa mkuuNaweza ila pale ntakapoona anahitaji
pia inategemea mitandao ipi na ya wapi na wawapi unamtongoza. wengine hatujawahi kukutana na kadhia za kuombwa pesa ya kusukia blah blah. achana na papuchi kabisa na hii mitongozo ya mitandaoni....nilishapiga self exim...yaani importations na exportations si kutoka mikoa wala nchi tofauti bali mabara tofauti ya hii dunia duarakama kichwa cha habari kinavyojielezea kwa ndugu zangu watumiaji wa mitandao ya kimahaba kama vile hitwe, Badoo, tizag,Instagram,whatsup etc hebu tupeane NONDO za maneno na kupeana ujuzi katika utongozaji .
Mimi kwa uzoefu wangu mitandao ya kimahaba nimetongoza watoto wengi wazuli wapo ambao nawapata wapo ambao nawapotezea ila changamoto ninazokutana nazo katika mitandao hii kama ifuatavyoo.
1.kuombwa hela ya kusuka au hela ya kulaa.
2.kuombwa hela ya nauli ya mdada kufika hapa nilipo.
3.kuombwa hela ndefu kama laki au laki mbili hivii. ......
Jinsi ya kudeal nao ni kama hivi .
1.Demu anayeniomba hela ya kusuka au hela ya kula ,
Huwa namuuliza uko wapi saivi , akisema nipo kimara au Sinza mi ntamjibu Mimi nipo karibia maeneo hayo vipi utakuwa sehemu gani nikupitishie au tuonane kituoni baada ya hapo nitasubilia atanijibu nini au atanibadilishia story . nikiona ananibadilishia story huwa nakausha coz huwezi mtumia hela MTU ambae hujawahi kumuona.
2.demu ambaye ananiomba nauli , huwa naamuliza uko wapi saivi akinijibu nipo mbagala mi ntamwambia Leo Nina safali ya kuja uko hivo ningependa tuonane huko huko hapo ntasubilia ajibu nini au atanibadilishia story nikiona atanibadilishia story huwa nakausha kwa maana huwezi tuma pesa kwa MTU ambae hujawahi kuonana naee.
3.demu ambaye ananiomba pesa kuanzia elfu 50 na kuendelea labda ana shida mi huwa namjibu ntakupa mwisho wa mwezi nikipokea mshaharaa baada ya hapo kabla ya mwisho wa mwezi katikati ya week moja nitamtongoza akikubali kesho yake nakula mzigo na baada ya mzigo nitamtoa 20 au 10 kama nauli ya kurudi anapoishi baada ya hapo mambo ya mwisho wa mwezi yatajulikana utakapofika mwisho wa mwezi .
Lakini ukiona umetongoza na demu anazingua KUTOA mzigo hiyo 50 basi ujue huyo alikuwa ni tapeli.........
Haya jamani tupeane nondo zaidi na changamoto za watoto mitandao ya mahaba
Asante mkuuooooh leo ndio unauza mazao mndali nikutakie kila la heri uuze salama
Anaogopa kusema ngoja nomnong'oneze kama anaogopa aniambie mi nifikishe ujumbeKhaaa si useme nan kakuzuia
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wise mbona umeongea kwa huzuni sanaila chungeni wanawake hawakomlewi unajikomoa mwenyew usijidanganye eti unampa 20 kuna siku watakunyoosha hutaamini
Mwambie kua nampenda mnong'oneze lakini.Anaogopa kusema ngoja nomnong'oneze kama anaogopa aniambie mi nifikishe ujumbe
Ngoja mndali aseme.Khaaa si useme nan kakuzuia
Sawa nimefikisha ujumbe ila kuwa mvumilivu maana majibu yaweza yakaja tofautiMwambie kua nampenda mnong'oneze lakini.
Tahadhari kama ipi?Aaaah mondray mbona mwoga kiasi hicho wanaume huwa hatuogopi we ukiahidiana nae fika eneo la tukio ila chukua tahadhali
Haya nitavumilia.Sawa nimefikisha ujumbe ila kuwa mvumilivu maana majibu yaweza yakaja tofauti
Namaanisha unaweza kufika eneo la makubaliano ukakuta tofauti na matarajio yako na lazima umsome kabla hujafika eneo la tukioTahadhari kama ipi?
Sawa ameenda kulifikilia ombi lakoHaya nitavumilia.
mbona kila siku unabadilika mpenziiiiZinaa zinaaa zinaaa.
Ikimbieni zinaa.
Bwana weee yahitaji uvumiivu.Namaanisha unaweza kufika eneo la makubaliano ukakuta tofauti na matarajio yako na lazima umsome kabla hujafika eneo la tukio
AhsanteSawa ameenda kulifikilia ombi lako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona kila siku unabadilika mpenziiii