Wale mabingwa wa kutongozana kwenye mitandao ya mahaba hebu tukutane hapa kupeana nondo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baba paroko nimecheka
Wanaume sisi we tuache tu kama tulivyo, tunajielewa wenyewe, huwa tuna mambo tunajifanya wajanjaaa ila ikifika ishu ya hapo kati sasa akili huwa zinaji formati kabisa, sasa unakuta kidume ni rahisi kufanya muamala ukuamtumia mtu hela hata hujawahi muona genye banah, genye ingekuwa ni ugonjwa wa kichaa basi wanaume kila wakati tungekuwa vichaa huko mjini unapishina na jitu kavaa boxa tu ndiyo anaenda kazini[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
kumbe ndio mlivyo [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…