Wale mabingwa wa kutongozana kwenye mitandao ya mahaba hebu tukutane hapa kupeana nondo

Wale mabingwa wa kutongozana kwenye mitandao ya mahaba hebu tukutane hapa kupeana nondo

Sasa babe si umesema unataka room temperature ? ngoja niweke basi. mkate utakula au chipsi?
Hamna jamani!!! Ni swali tu!!! Nimeuliza nijue nitaitengeneza sa ngapi!!!
Ivi huna jiko mpaka unilishe chipsi au mkate???
 
Mimi kama mwanamke haniombi hela simwelewi kabisa. Kuniambia eti kanipenda tu ni uongo tu, Kwa hiyo ombeni hela.

Aisee ombeni helaaa. Sipendagi ujinga mimi.
 
Ni jana tu nimeombwa nitume elfu 10 eti kaishiwa Luku tangu muda uo hakna kuchati tena siwez tuma helam kwa mtu nisiemjua
 
Back
Top Bottom