GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wadanganye tu wasiozijua za Ndani.Wako hai na wamekula shavu kubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadanganye tu wasiozijua za Ndani.Wako hai na wamekula shavu kubwa sana
Shetani hajawahi kumshinda Mungu , ushazoea ubishi ubishi , endelea kubishana , Wauawe ili iwe nini ?Wadanganye tu wasiozijua za Ndani.
Sasa ndugu yangu mlishapeleka wapi mamilioni yaa Ruzuku zote? Mbona hata milango ya ofisi mmeshindwa kuikarabati? Au Mlikuwa mnamlipa zote Mbowe alizokuwa anasema anawadai bila hata ushahidi? Ila kweli wajinga ndio waliwao na hakika mlishaliwa kwa miaka mingi Sana mpaka mmebaki mikono mitupu. Pambana ukabebage Mchele kyela na maparachichi Tukuyu uwapelekeage ufipa na kuwakopesha ili na wewe ulipwage Kama mbowe maana alishawaweka kamaa nyie wote Ni wajinga Sana,Mwashambwa huna ushahidi wa masuala ya ruzuku , jikite kwenye mambo unayoyaweza tu
Wapi nimesema kuwa Wameuliwa?Shetani hajawahi kumshinda Mungu , ushazoea ubishi ubishi , endelea kubishana , Wauawe ili iwe nini ?
Dadangu kura ndo kula?Siri gani isije ikawa mmewatapeli na kushindwa kuwapa hata mitaji ya kufungua biashara wakati mwenye kigoda wako yupo marekani huko akipigania Uraia pacha ili watoto wake wanaotumbua Ruzuku za chama waendelee Kura kwa mrija na kuleta uchochezi nchini
Endelea kutamaniNatamani tu Kusikia bado wako Hai!!!
Tunaomba ujibu hapa mkuu
Ni Mnyiha hana kitu kichwani anawaza kuchuna Ngozi ya binadamu..Mwashambwa huna ushahidi wa masuala ya ruzuku , jikite kwenye mambo unayoyaweza tu
Namuonea huruma sana yule wa Rau Madukani kwa mambo yanayotokea ni kama wamemkanaHatutasema siri ya makomandoo wa Taifa kwa sasa , lakini wako poa sana , sasa unajua aliko Urio na yule muuza mbege ?
Yule jamaa maarufu kama Adamoo, siku moja nipo kwenye daladala ya Mbezi - Msata nikamuona na yeye yupo seat ya nyuma kabisaaaa amechapa usingizi mzito. Nikajiuliza maswali ina maana mlinzi wa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini wameshindwa kabisa kumtafutia usafiri binafsi hata wa ki IST au Nissan Dual tuSina mengi yakusema ila siwaoni siku hizi popote pale maana walikuja Kwa mbwembwe.
N. B. sina Chama ila siipendi ccm na serikali ya Tanzania View attachment 2456149
Lugha hizo unazosema wewe zilishasemwa na wenzako wengi sana humu , lakini wakaishia kujificha kwa aibu , hata wewe nakupa wiki 2 tu kabla hujakimbiaSasa ndugu yangu mlishapeleka wapi mamilioni yaa Ruzuku zote? Mbona hata milango ya ofisi mmeshindwa kuikarabati? Au Mlikuwa mnamlipa zote Mbowe alizokuwa anasema anawadai bila hata ushahidi? Ila kweli wajinga ndio waliwao na hakika mlishaliwa kwa miaka mingi Sana mpaka mmebaki mikono mitupu. Pambana ukabebage Mchele kyela na maparachichi Tukuyu uwapelekeage ufipa na kuwakopesha ili na wewe ulipwage Kama mbowe maana alishawaweka kamaa nyie wote Ni wajinga Sana,
Jibu tu kwa ufupi kuwa mamilioni ya Ruzuku mlipeleka wapi?Lugha hizo unazosema wewe zilishasemwa na wenzako wengi sana humu , lakini wakaishia kujificha kwa aibu , hata wewe nakupa wiki 2 tu kabla hujakimbia
😆😆😆Ni Mnyiha hana kitu kichwani anawaza kuchuna Ngozi ya binadamu..
Mimi si msemaji wa ChademaJibu tu kwa ufupi kuwa mamilioni ya Ruzuku mlipeleka wapi?
Homeboy Urio alifeli sanaHatutasema siri ya makomandoo wa Taifa kwa sasa , lakini wako poa sana , sasa unajua aliko Urio na yule muuza mbege ?
Yule wa pale Rau Madukani?Mtu muongo yule balaa!Ataishi kwa kujicheka maisha yake yoooteee!😂😂😂😂😂Hatutasema siri ya makomandoo wa Taifa kwa sasa , lakini wako poa sana , sasa unajua aliko Urio na yule muuza mbege ?
Hivi ndiyo hao wachuna ngozi za binadamu?Dah!Ni Mnyiha hana kitu kichwani anawaza kuchuna Ngozi ya binadamu..