Yule jamaa kashafariki ulinzi wanini Sasa?Erythrocyte Tunakuomba huku haraka , usisahau kuja na hesabu ya hela za join the chain maana Hawa makomandoo walishiriki ulinzi wake wakati wa ukusanyaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule jamaa kashafariki ulinzi wanini Sasa?Erythrocyte Tunakuomba huku haraka , usisahau kuja na hesabu ya hela za join the chain maana Hawa makomandoo walishiriki ulinzi wake wakati wa ukusanyaji
Makomando wa matopeSina mengi yakusema, ila siwaoni siku hizi popote pale maana walikuja kwa mbwembwe.
NB: Sina chama ila siipendi CCM na serikali ya Tanzania.View attachment 2456149
Komandoo Ni Pesa,Kesha lamba asali saizi Hakuna Cha komandooSina mengi yakusema, ila siwaoni siku hizi popote pale maana walikuja kwa mbwembwe.
NB: Sina chama ila siipendi CCM na serikali ya Tanzania.View attachment 2456149
Broo ni hao nimeishi nao sana huko kwao Mbozi ni makatiri sana,wanakuchoma Sindano unaumuka kisha wanakuchuna Ngozi ukiwa hai...Hivi ndiyo hao wachuna ngozi za binadamu?Dah!
SijakuelewaMakomando wa matope
Kura = KulaSiri gani isije ikawa mmewatapeli na kushindwa kuwapa hata mitaji ya kufungua biashara wakati mwenye kigoda wako yupo marekani huko akipigania Uraia pacha ili watoto wake wanaotumbua Ruzuku za chama waendelee Kura kwa mrija na kuleta uchochezi nchini
Acha uongo kyagataMbona mbowe alishawatafutia uraia wa [emoji631].
Wapuuzsan watu wa mbozBroo ni hao nimeishi nao sana huko kwao Mbozi ni makatiri sana,wanakuchoma Sindano unaumuka kisha wanakuchuna Ngozi ukiwa hai...
Wawe Kwa mama akowako nyumbani kwao na familia zao. unataka wawe wapi?