Wale Makomando waliokuwa wanamlinda Freeman Mbowe wako wapi?

Siri gani isije ikawa mmewatapeli na kushindwa kuwapa hata mitaji ya kufungua biashara wakati mwenye kigoda wako yupo marekani huko akipigania Uraia pacha ili watoto wake wanaotumbua Ruzuku za chama waendelee Kura kwa mrija na kuleta uchochezi nchini
Kura = Kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…