Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Kuna jamaa alioa mtumishi kwa ajili ya kusaidiana maisha akaanza kukashifu wote walioa wamama wa nyumbani, baada ya muda wa miaka 2 jamaa akaanza kalalamika ratiba za kupewa utamu kwa wiki mara moja tena kuna wakati kwa mbinde mpaka mwamba akawa anajichukulia sheria mkoni kwa kupanda mnazi na bajeti ya matumiz yote ikawa inamwangukua jamaa isipokuwa kusuka tu, sasa hivi anahangaika na maisha yake, talaka ishatoka tayari.
 
Kuna jamaa alioa mtumishi kwa ajili ya kusaidiana maisha akaanza kukashifu wote walioa wamama wa nyumbani, baada ya muda wa miaka 2 jamaa akaanza kalalamika ratiba za kupewa utamu kwa wiki mara moja tena kuna wakati kwa mbinde mpaka mwamba akawa anajichukulia sheria mkoni kwa kupanda mnazi na bajeti ya matumiz yote ikawa inamwangukua jamaa isipokuwa kusuka tu, sasa hivi anahangaika na maisha yake, talaka ishatoka tayari.
Balaa sana hii
 
Back
Top Bottom