Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Okay nimekusoma.Ukianza kuwa mbinafsi na vyako lazima na mimi nilinde vyangu
Sasa how u get to the thought kwamba mwenzio ni mbinafsi na it wasnt like that before?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay nimekusoma.Ukianza kuwa mbinafsi na vyako lazima na mimi nilinde vyangu
Maurya weweNdoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Alpha male hatuoi Kwa kufuata taratibu Wala hatuachi wanawake Bali tunasitisha mahusiano Kwa muda tu,huku tukiendelea kuchakata pole pole saw nje!Kuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Usingeoa msomi ,ungepiga mimba akazaa halafu sogea tuishi TU huku ukizingua kufuata taratibu za ndoa rasmi!Mambo ni magumu kiasi chake maana kipato cha mwanamke ni chake, na kipato cha mwanaume ni cha wote... Lakini pia kuna mazingira ya kikazi ya mwanamke yanaleta hali ya sintofahamu ktk suala la kuaminiana kihisia... Huu utaratibu wa kusema MSAIDIANE nadhani hakuna mashiko sana na hii inapelekea mwanaume kujikuta unatengeneza bomu linalokuja kukulipukia mwenyewe baadae. NAJUTA MIMI
Hongereni mliooa mama wa nyumbani na heshima mnaipata
Ukianza kumletea shida Na kumsumbua lazima awe mchungu Na ela yake MTU anakufumania Na michepuko unabadilisha wanawake kila siku pombe unamnyanyasa Na vipigo humuonesh Upendo humjali hujali hisia zake nguvu ya kukupa Hela anakua Hana Ila Yule anaetendewa mema anaweza mkabidhi mshahara wote mume wake😅😅😅Hamko hivyo wengi wenu, na mnaokuaga hivi ni pale mwanzoni tu. Ke wana uchungu sana na pesa zao.
Mpende Sana mjali hisia zake usiwe Na michepuko uone kama atakua mchungu kutoa pesaInawezekana pia..ila unaweza nifafanulia bhow mkuu?? Pengine kuna mahali tunakosea
Michepuko ni nature ya kiume!usipokua nayo itakufuata yenyewe!Mpende Sana mjali hisia zake usiwe Na michepuko uone kama atakua mchungu kutoa pesa
Msomi mwenye mshahara Huwa haolewi ,unazalisha unajenga nae maisha Akizingua unasitisha tu mahusiano kwa muda huku ukiendelea kupiga mishe kama kawa!Jmn ndoa haijawahi kuwa nyepesi au kutokuwa nyepesi Kwa sababu ya kuonana watumishi Kwa watumishi, jobless Kwa jobless, mtumishi na jobless, masikini na tajiri, matajiri Kwa matajiri nk
Kiukwel katika miaka yetu almost 15, ni mara 1 tu ndio angalau kwa mbali aliweza nishuku nina michepuko na kiukwel sinaga!.Mpende Sana mjali hisia zake usiwe Na michepuko uone kama atakua mchungu kutoa pesa
Mshahara wa Mwanamke hua haujulikani na hauna msaada wowoteKuna rafiki yangu, yuko kwenye hatua za kuachana na mke wake, mtumishi wa umma.
Alioa kwa lengo la kusaidiana maisha
Sijawahi fanya hata moja hapo juu na wala pomne sijawah hata kunusa, kupiga mwanamke siweziUkianza kumletea shida Na kumsumbua lazima awe mchungu Na ela yake MTU anakufumania Na michepuko unabadilisha wanawake kila siku pombe unamnyanyasa Na vipigo humuonesh Upendo humjali hujali hisia zake nguvu ya kukupa Hela anakua Hana Ila Yule anaetendewa mema anaweza mkabidhi mshahara wote mume wake😅😅😅
nalelewa na dada yako na namkojoza kweli ..huwa hakwambii?irrelevant. au unalelewa mkuu
Ni kweli kabisaSi ndo mlivyo au nasingizia?
Kwa hiyo unadhani wanawake wa wenzio wanatoa hela zao?..🤣🤣🤣🤣 Kaa kwa kutuliaa kila mahali ni motoo kijanaaMwanamke ni kiumbe mbinafsi sijawahi ona. Pesa yake ni yake tu, pesa ya mumewe ni ya familia. Ukitaka mshirikiane kifedha kwenye jambo lolote pesa yake hautaiona. Ila sio wanawake wote, najuta mimi.
bora kumuoa asiye mwajiriwaKuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Uwezo mdogo wa kutumia ubongoMimi hata iweje siwezi kuoa jobless, acha niuawe na mwenzangu ili hata akileta mbwembwe najua kabisa sijatoboka kiivyo. Najua kuna vitu atakuwa amenipunguzia vidogovidogo mfn hela ya ped, kusuka nk
Kwa hiyo unalelewaNamshukuru Mungu wa mbinguni sababu baadhi yetu tumebarikiwa kupata wenza sahihi sana, tchaaah'..!🙌