Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Ndoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya

Nyumba kaikuta na kila kitu ndani

Akicheza anabeba begi kwao!!

Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!

Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Maurya wewe
 
Kuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.

Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Alpha male hatuoi Kwa kufuata taratibu Wala hatuachi wanawake Bali tunasitisha mahusiano Kwa muda tu,huku tukiendelea kuchakata pole pole saw nje!

Mwambie jamaa asiache Dem Bali asitishe mahusiano kwa muda huku akijirusha na maisha akiendelea kuhudumia familia!!

Ke wengi wakishika mshiko wanadharau wewe unawaonyesha kiburi!!

Wasomi huwa hatuoi kabisa tunawazalisha TU na kulea nao familia hadi pale watakapozingua tu na wewe unakula Kona kwa vimwana !!

Kuoa msomi rasmi no kujitakia kifo Cha mapema!!ishi nae tu huku mguu ndani nje basi!!
 
Mambo ni magumu kiasi chake maana kipato cha mwanamke ni chake, na kipato cha mwanaume ni cha wote... Lakini pia kuna mazingira ya kikazi ya mwanamke yanaleta hali ya sintofahamu ktk suala la kuaminiana kihisia... Huu utaratibu wa kusema MSAIDIANE nadhani hakuna mashiko sana na hii inapelekea mwanaume kujikuta unatengeneza bomu linalokuja kukulipukia mwenyewe baadae. NAJUTA MIMI

Hongereni mliooa mama wa nyumbani na heshima mnaipata
Usingeoa msomi ,ungepiga mimba akazaa halafu sogea tuishi TU huku ukizingua kufuata taratibu za ndoa rasmi!

Msomi haolewi hasta kidogo Bali tunaishi nao tu Hadi pale wakizingua unasitisha mahusiano tu Kwa muda huku ukichakata nje pole pole!
 
Hamko hivyo wengi wenu, na mnaokuaga hivi ni pale mwanzoni tu. Ke wana uchungu sana na pesa zao.
Ukianza kumletea shida Na kumsumbua lazima awe mchungu Na ela yake MTU anakufumania Na michepuko unabadilisha wanawake kila siku pombe unamnyanyasa Na vipigo humuonesh Upendo humjali hujali hisia zake nguvu ya kukupa Hela anakua Hana Ila Yule anaetendewa mema anaweza mkabidhi mshahara wote mume wake😅😅😅
 
Jmn ndoa haijawahi kuwa nyepesi au kutokuwa nyepesi Kwa sababu ya kuonana watumishi Kwa watumishi, jobless Kwa jobless, mtumishi na jobless, masikini na tajiri, matajiri Kwa matajiri nk
 
Mpende Sana mjali hisia zake usiwe Na michepuko uone kama atakua mchungu kutoa pesa
Michepuko ni nature ya kiume!usipokua nayo itakufuata yenyewe!

Mfano umeenda labor Hadi uzae unyonyeshe viungo vikaze huyo man atakua anapiga pull!!?

Yaaani unakaa mwezi mzima halafu watumishi wengi wanazaa Kwa operation utasubiri tu Hadi miezi mitatu!!?
 
Jmn ndoa haijawahi kuwa nyepesi au kutokuwa nyepesi Kwa sababu ya kuonana watumishi Kwa watumishi, jobless Kwa jobless, mtumishi na jobless, masikini na tajiri, matajiri Kwa matajiri nk
Msomi mwenye mshahara Huwa haolewi ,unazalisha unajenga nae maisha Akizingua unasitisha tu mahusiano kwa muda huku ukiendelea kupiga mishe kama kawa!
 
Ukianza kumletea shida Na kumsumbua lazima awe mchungu Na ela yake MTU anakufumania Na michepuko unabadilisha wanawake kila siku pombe unamnyanyasa Na vipigo humuonesh Upendo humjali hujali hisia zake nguvu ya kukupa Hela anakua Hana Ila Yule anaetendewa mema anaweza mkabidhi mshahara wote mume wake😅😅😅
Sijawahi fanya hata moja hapo juu na wala pomne sijawah hata kunusa, kupiga mwanamke siwezi
 
Mwanamke ni kiumbe mbinafsi sijawahi ona. Pesa yake ni yake tu, pesa ya mumewe ni ya familia. Ukitaka mshirikiane kifedha kwenye jambo lolote pesa yake hautaiona. Ila sio wanawake wote, najuta mimi.
Kwa hiyo unadhani wanawake wa wenzio wanatoa hela zao?..🤣🤣🤣🤣 Kaa kwa kutuliaa kila mahali ni motoo kijanaa
 
Back
Top Bottom