Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Kikubwa umeoa mwanamke wa namna gani, kama mnaelewana vizuri na mnashirikishana utafurahia maisha, mishahara yenu mnaijumuisha na kuipangia matumizi, ila usisahau kuwa wanawake wanamahitaji makubwa kuliko sisi hehe lazima awe na ziada
Nakuelewa zaidi maana nimeshaexperience haya. Na hapo ndipo mwanaume unatakiwa kutumia akili zaidi
 
Oa huyo binti acha kuangalia kazi yake maana hela zao ni zao peke yao, yani mwanaume unatakiwa ujue kabisa hela ya mwanamke ni ya kwake mwenyewe..

Mm ndo maana hata spana za maisha zikinipiga kivipi siwezi ruhusu mke wangu akatoa hela au ajue sina hela ila nachofayaga natoa hata kidogo pale nakofikia yeye atajua aongezee au afanyaje.. pia akiomba hela hatakama najua sina sisemagi sina nakubali ila na mwambia nafanya mpango nitakupa jibu na jibu lenyewe either lije pungufu ajazie au lije limejaa au nisitimize kabisa.

Nb: hela ya mwanamke intumika kwa akili sana ukionyesha unaipigia hesabu ndo unaikosa kabisa au inaleta vurugu.. ukitaka kutumia hela ya mwanamke tumia propaganda atatoa tuu tena kwa moyo mweupe ila ukijifanya mjuaji ndugu yangu utaumia
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Kwa nini tumejijengea fikra za mwanaume ndiye ataanza kufa. Hili linatutafuna sana

Itoshe kusema mwanaume mwenzangu ukipata nafasi ya kufaidi maisha na kuwa na amani wewe kama wewe basi usiichezee, kula bila kuangalia nani wala nani, jipongeze, jitoe out. Maana msimamo wa wanawake na watoto wanaamini wewe ndiyo utakuwa wa kwanza kufa na mali zote ulizozihangaikia zinatatafunwa kirahisi na wao
Sikumaanisha kufa, bali ajali, kuumwa, redundancy kazini, kuwa fired.
Kwenye suala la ku enjoy nakuunga mkono
Maana kwenye mipango yako kifo sio kitu ya kuacha na ukikumbuka kuna kufa basi uwezi acha kufurahi
 
Unaonaje hao bint zako unaowapenda wakija kusogezwa na kijana wa hovyo huku wewe baba yao ukiwa unajua hilo, Nafikiri itakuwa hivyo maana mchezo wote huwa ni hapa hapa duniani. tunataka kujua reaction yako
Haipunguzi ukweli wala hainifanyi niingie ubaridi mm hata ukisema mama na dada zangu bado sheria ni 👉 "survival of the fittest". Hao mabinti kama watashindwa kusurvive kwenye dimbwi la vijana wa hovyo then they were not meant for it. Its simple as that no feelings attached🤗

Mwanaume inabidi uwe kama simba kwelikweli ukiwa nyorinyori hufiki mahali, kwenye kufanya maamuzi unatakiwa utumie akili sio hisia,,,hisia ni za wanawake!
 
Ndoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya

Nyumba kaikuta na kila kitu ndani

Akicheza anabeba begi kwao!!

Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!

Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Umewahi kuugua magonjwa ya akili ?
 
Umesahau siku hizi kuna compressor za kuvuta vumbi, Aya heaters, rice cookers, oven, kuna Ile nyingine inachoma nyama sijui Inaitwaje, viberiti vipo vya risasi na gas za kwenda mtungi 75 elfu

Ila N. B MSILE malaya mnabeba nuk
Mtu ambaye bado anateseka na wanawake hayupo na akili timamu.

Mwanaume katika karne hii kinachotakiwa kukuumiza kichwa ni pesa tu yaani pesa tu🙏
 
Ukioa mtumishi si mbaya maana hata mabinti zetu tunawasomesha pengine wanaweza kuja kupata ajira wakawa chini ya serikali au kampuni binafsi. Itakupasa kukubaliana na yafuatayo.

Pesa yake haikuhusu, ingawa hawezi kumwacha mtoto wake wa kumzaa akikosa mahitaji, hiyo never. Na pengine hapo ndo kuna unafuu kidogo maana anahudumia wanao kwa vitu wanavyovipenda kama nguo, zawadi nzuri na favours nyingine kama visherehe vya siku ya kuzaliwa.

Atarudi amechoka kutoka kazini, hivyo kubali kukosa care kwa mume kama kufuliwa, kupikiwa na mengineyo ukubali kuzopata kwa dada wa kazi,

Huwezi kumwekea mipaka kama mkeo maana kuna maamuzi yatakayoathiriwa na boss wake huko kazini kwake. Yapasa kukubaliana na kitakachopangwa huko kazini kwake mfano safari ya mbali kikazi, kurudi amechelewa kutokana na majukumu ya ziada. Huna sauti utakuwa ni kukubaliana tu.

Watoto wako watatumia maziwa mbadala na muda mwingi watakaa na dada wa kazi kwa sababu ratiba za mkeo haziwezi kumpa nafasi kutosheleza mahitaji ya kihisia na kimwili ya mtoto wenu ambayo ni lazima kwa makuzi ya mtoto.

Mwanamke ndiye huifanya nyumba kuwe nyumbani mfano kelele za watoto na michezo yao, Usafi wa maua yaliyokatwa vyema na kutunzwa vizuri, usafi wa ndani na activities za hapa na pale mfano ubunifu wa mapishi, kukuwakilisha kwenye vikao vidogo vidogo vya kijamii, kukuletea umbea kidogo wa mtaa ambao ni sehemu ya security..

Mengi mengi tu.
Haya huwezi kuyategemea kwa mke mwenye majukumu mengi ya kikazi.

Ukubali pia pamoja na mzigo wote wa kuihudumia familia ambao mkeo anaweza akakuachia lakini hutapata huduma nyingi za mume ikiwemo tendo la ndoa, utakachokiambulia labda ni heshima uchwara ambayo utakuwa ukijipa mwenyewe kuwa unamiliki mke msomi mwenye kazi ambayo kiuhalisiaina mchango mdogo saba kwenye maisha yako.

Haogopi kukupoteza kwa sababu anayo option za wanaume wengi na kipato. Hatahangaika na wewe hasa watoto wake wakikua. Hivyo unapaswa kujiwekewekeza usitumie nguvu zako zote za ujana kumfurahisha ukasahau kujiendeleza kuandaa maisha yako hasa ukiwa mzee maana hata hao watoto watakuwa upande wako kwa asilimia 25 tu 75 kwake.

Kinyume chake ukioa mke asiye na ajira yapo pia unaweza kukutana nayo mfano;

Kama si mcha Mungu kweli atakuroga ili akuweke sawa maana wewe ukikengeuka na wanawake wengine yeye hali kwake ni tete maana anakutegemea kwa mambo yote.

Ila kikubwa utapata heshima na treatment nyingi anazostahili mume maana kazi yake kubwa itakuwa kujifunza kukufurahisha ili asikupoteze



Kila mtu anapaswa kuangalia anahitaji kuishi maisha ya namna gani kabla hajaoa
kwa mentality hii ya kupenda kusaidia majukumu iko siku utakuja kufungua uzi hapa unaomba ushauri huyo mke wako anakucheat😄😄😄

Nyie ndo aina ya wanaume hamtaki kuamini kuwa mwanamke hawatupendi wala hawajali,,,,kuhusu chchote zaidi ya pesa tu. Ww huyo mke wako akikutana na akina Baltazar utajua hujui.

Tafuta hela uishi kama mfalme sio unaanza kuzipigia hesabu hela za mwanamke wako,,,bro hela ya mwanamke chungu kama shubiri😄😄😄unless umekubali kuwa bushoke!!!
 
Ndoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya

Nyumba kaikuta na kila kitu ndani

Akicheza anabeba begi kwao!!

Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!

Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Hili nalo neno. Manamke anapaswa kujua kuwa wewe kidume anytime unaweza muondoa na maisha yakaendelea bila tabu.
 
Unabidi kuoa MTU unayempenda uoga wa maisha ni kitu kibaya .


Kitu muhimu ambacho anabidi kuwa nacho mwanamke ni kujitambua the sense of who you are.
bro hakuna kitu kama mapenzi hizi theory zimeumbwa ili kuhadaa watu waache kutumia akili,,,,hivi ww na USOMI WAKO bado unaamini huu utapeli wa kudanganyana kuwa mnapendana.

Infact watu wanaangalia unanini utachooffer ila wanaicingsugar tukio zima na mbwembwe za kuigiziana mapenzi,,,,filisika au fukuzwa kazi ndo utajua hata mamako mzazi alikuwa anakupenda kisa unapesa😂😂😂😂 ogopa utapeli kataa ndoa!!!!
 
bro hakuna kitu kama mapenzi hizi theory zimeumbwa ili kuhadaa watu waache kutumia akili,,,,hivi ww na USOMI WAKO bado unaamini huu utapeli wa kudanganyana kuwa mnapendana.

Infact watu wanaangalia unanini utachooffer ila wanaicingsugar tukio zima na mbwembwe za kuigiziana mapenzi,,,,filisika au fukuzwa kazi ndo utajua hata mamako mzazi alikuwa anakupenda kisa unapesa😂😂😂😂 ogopa utapeli kataa ndoa!!!!

Ndo dunia ilivyo mkuu.
 
Utaweka kila kitu ndani ila mwanamke akinunua hata kijiko tu atakusimanga kinoma huku anakwambia yeye ndo ananunua kila kitu ndani
Umejuaje mkuu??? Nimezushiwa haya kikaoni juzi. Yan ni kama umecopy na ku paste hapa mambo yalionikuta juzi kwenye kikao dhidi ya wife mbele ya wachungaji wetu.

Uzuri ni kwamba i always keep the record for whatever i do as part of my financial discipline. Na uzur matumiz mengime nilikua namuandikia cheque na zaid huwa nina bank statement za kila mwezi kwakua namandikiaga cheque kwa account ya office so details are so cleae ndio kilichoniokoa kwenye uongo wake maana niliambiwa sijawah kutoa hata mia kuhudumia familia
 
Back
Top Bottom