BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
-Kataa ndoa wana hoja wasikilizwe
- mademu wafanyakazi ni kugongwa na kuachwa tu
- mademu wafanyakazi ni kugongwa na kuachwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchane live mdangaji mwandamiziWewe sio mwanamke wa kwanza mimi kumsikia anaongea hivi, hata huku mtaani wadada wana msemo wao kuwa wanawake hawanaga hela.
Hio ni kauli ya kidangaji na ya kibinafsi. Samahani lakini Missy Gf
Wanawake ni wepesi sana kusahau wema na kukumbuka mabayaUmejuaje mkuu??? Nimezushiwa haya kikaoni juzi. Yan ni kama umecopy na ku paste hapa mambo yalionikuta juzi kwenye kikao dhidi ya wife mbele ya wachungaji wetu.
Uzuri ni kwamba i always keep the record for whatever i do as part of my financial discipline. Na uzur matumiz mengime nilikua namuandikia cheque na zaid huwa nina bank statement za kila mwezi kwakua namandikiaga cheque kwa account ya office so details are so cleae ndio kilichoniokoa kwenye uongo wake maana niliambiwa sijawah kutoa hata mia kuhudumia familia
Si ndo mlivyo au nasingizia?Kama mwanamke nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa mkuuHili ndo neno sasa
Mkipendana mambo yanaenda tu ila ukishaleta habari za pesa basiii limeisha hilo
Hapana sio kwamba ni wepes wa kusahau, huwa wanakusudia kukuharibu na kukuchafua makusudi sasa ni vile tu kuna time wakikukuta smart ndio wana fail. Na ndio nikaamin kuwa sio kila kitu unapaswa kumwambia mkeo, mfano mimi wife hakua anajua kuwa i document everything i do, mpaka pesa nikitoka nao out as family i always have a journal kwa ajil ya ku review habit yangu kimatumiz ili kujikosoa, laiti kama angejua hili naamini asingenizulia uzushi huo ili kuniharibia image yangu, plus anaongea kwa hisia unaweza sema kwel anateseka nikawa tuliii namcheck tu, alipomaliza nika pull out my files. Aliaibika sanaWanawake ni wepesi sana kusahau wema na kukumbuka mabaya
Hamko hivyo wengi wenu, na mnaokuaga hivi ni pale mwanzoni tu. Ke wana uchungu sana na pesa zao.Hili ndo neno sasa
Mkipendana mambo yanaenda tu ila ukishaleta habari za pesa basiii limeisha hilo
Hivyohivyo hata mahakamani ukisikiliza kesi za madai ya talaka ukianza kumsikiliza mwanamke kwanza unaweza kusema mume wake ni shetani, ila ukija kumsikiliza na mwanaume akiongea ndo utagundua mwanamke ndo mbaya ila ni bingwa wa kubadilisha maneno na kutia hurumaHapana sio kwamba ni wepes wa kusahau, huwa wanakusudia kukuharibu na kukuchafua makusudi sasa ni vile tu kuna time wakikukuta smart ndio wana fail. Na ndio nikaamin kuwa sio kila kitu unapaswa kumwambia mkeo, mfano mimi wife hakua anajua kuwa i document everything i do, mpaka pesa nikitoka nao out as family i always have a journal kwa ajil ya ku review habit yangu kimatumiz ili kujikosoa, laiti kama angejua hili naamini asingenizulia uzushi huo ili kuniharibia image yangu, plus anaongea kwa hisia unaweza sema kwel anateseka nikawa tuliii namcheck tu, alipomaliza nika pull out my files. Aliaibika sana
Ni kweli nakubali. Nilikuaga nayakataa haya maneno zaman nikisikia mtu anaeleza, mpaka baada ya sasa kuyashuhufia binafsiHivyohivyo hata mahakamani ukisikiliza kesi za madai ya talaka ukianza kumsikiliza mwanamke kwanza unaweza kusema mume wake ni shetani, ila ukija kumsikiliza na mwanaume akiongea ndo utagundua mwanamke ndo mbaya ila ni bingwa wa kubadilisha maneno na kutia huruma
Tunabadilika kulingana na treatment yenuHamko hivyo wengi wenu, na mnaokuaga hivi ni pale mwanzoni tu. Ke wana uchungu sana na pesa zao.
Inawezekana pia..ila unaweza nifafanulia bhow mkuu?? Pengine kuna mahali tunakoseaTunabadilika kulingana na treatment yenu
Huwezi pangia pato la mke wako matumizi kwa shuruti, labda tu awe na moyo wake safi, malengo ya kuifikisha familia yake mbali na kwa moyo mmoja afu mwanaume awe hana cheating zile za kipumbavu mpaka mkewe anajua, hapo mtapanga vizuri na atakuwa na moyo kabisa wa kusaidianaShida nini mkuu,mwisho wa mwezi wote si mnaweka hela mezani mnazipangia matumizi?
Bikra muhimu✊️Wanawake wengi (japo si wote) asilimia kubni selfish linapokuja suala la kutumia kipato chake kwa ajili ya familia.. mda mwingine mwanaume usawa unakaba huna hata shilingi lakini mkeo hawezi kukusaidia hata kama pesa anayo... wengi tunapitia changamoto hizi lakini tunavumilia.
Na ndo maana kama vijana au wanaume tusiendekeze nyege in our 20s and early 30s katika kipindi hiki tujitafute na tuwekeze vya kutosha ili tuwe na uhakika wa kuwa na kipato kizuri kuanzisha familia. Hii itatujengea kujiamini na kutoitegemea pesa ya mwanamke. Kumbukeni kuoa mabikra wazee mkishajipata 🤣.
Wewe unasaidiwa?Kuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Ukianza kuwa mbinafsi na vyako lazima na mimi nilinde vyanguInawezekana pia..ila unaweza nifafanulia bhow mkuu?? Pengine kuna mahali tunakosea
Hongera sana. Usahihi sana unaanza kwenye pesa kwanza. Vinginevyo angekuwa ng'ombe kama ng'ombe wengineNamshukuru Mungu wa mbinguni sababu baadhi yetu tumebarikiwa kupata wenza sahihi sana, tchaaah'..!🙌
change your mindset sweetheart..!! And yeah, I can't complain..!!Hongera sana. Usahihi sana unaanza kwenye pesa kwanza. Vinginevyo angekuwa ng'ombe kama ng'ombe wengine
We are all grown up darling mambo tunayaona. Hekima, busara na heshima ya mwanadamu kwenye ulimwengu huu iko kwenye pesa.change your mindset sweetheart..!! And yeah, I can't complain..!!