Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Mambo ni magumu kiasi chake maana kipato cha mwanamke ni chake, na kipato cha mwanaume ni cha wote... Lakini pia kuna mazingira ya kikazi ya mwanamke yanaleta hali ya sintofahamu ktk suala la kuaminiana kihisia... Huu utaratibu wa kusema MSAIDIANE nadhani hakuna mashiko sana na hii inapelekea mwanaume kujikuta unatengeneza bomu linalokuja kukulipukia mwenyewe baadae. NAJUTA MIMI

Hongereni mliooa mama wa nyumbani na heshima mnaipata
Naamini siyo wanawake wote wako hivyo, japo % kubwa wako hivyo
 
Nilichoona Kwenye maisha ya wanaume wengi, kwa asilimia kubwa mwanamke ambae atakupa sapoti ambayo itafanya uinuke kiuchumi ni mama mzazi na ndugu wa kike, hao wanawake wengine wanakuja kwa nia ya kuchuna tu.

Ni mara chache kukuta mwanaume ni tajiri sababu amepewa sapoti na mkewe au mchumba Rabboni Natafuta Ajira
Nakubaliana na wewe!! huyo jamaa yangu aliyeoa mtumishi, mwanamke yuko beneti na watu wa kwao.
hadi bank anamikopo ila uelekeo wa pesa ni kwao,
Akiulizwa anasema wazazi wake ndio waliomsomesha sasa ni jukumu lake kuwafanyia kila wanachotaka.
 
Watoto muhimu Sana badae nitazeeka watoto watamkumbuka tu baba maana wanasoma kwa pesa yangu
Watoto wengi huwakumbuka mama zao kuliko baba zao. Na jinsi unavyomchukulia poa mama yao ndo wanazidi kumpenda yeye na wewe watakuchukulia poa hapo baadae.
Kuwasomesha ni jukumu lako na si kama unawafanyia favor.
 
Watoto wengi huwakumbuka mama zao kuwa mskini. Na jinso unavyomchukulia poa mama yao ndo wanazidi kumpenda yeye na wewe watakuchukulia poa hapo baadae.
Kuwasomesha ni jukumu lako na si kama unawafanyia favor.
Umri wangu wa kuishi uliobaki ni mdogo Sana Sina haja ya kupewa pesa maana natimiza majukumu yangu Kama baba inatosha Sina haja ya kupewa pesa watanikumbuka kwa niliyofanya kwa ajili yao wasipokumbuka hawalazimishwi maana pesa yangu ya kula inanitosha na bado natafuta

Kumsaidia mtu aliyekusaidia uwa ni kamali sio sheria Ila msimamo wangu upo hivyo siwezi kuoa mwanamke anayekimbizana na kazi
 
Kupitia huu uzi na nyuzi nyingine za wenye ndoa kuendelea kulalamika.

Asitokee bwege mmoja akatoa ushauri kwa vijana kuingia kwenye huu ujinga wa ndoa. Supply ni kubwa kwenye market. Kijana anayeoa ni fala.

Solution ya kufua nunua dry cleaner,kuna dish washer mpaka za 300k kama mvivu kuosha viombo😄😄😄😄, hapa duniani hatujaja kuteseka na dunia ni njia tu yanini kuteseka.Usisahau kununua na katredmill kakupasha pasha kuweka mwili fiti. Uzee tukibahatika kufika ni mwendo wa kula bata tu kama COMRADE babu wa tiktok🤗

##kataa ndoa tunaendelea kusistiza afya ya akili na mwili ni muhimu kuliko unavyodhani!!!! kataa ndoa itaendelea kuongoza3-0🤗
 
Back
Top Bottom