Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Wengi wamepokonywa kadi zao za bank na wake zao ...hali si shwariKuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.