Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Wanawake wengi (japo si wote) asilimia kubwa ni selfish linapokuja suala la kutumia kipato chake kwa ajili ya familia.. mda mwingine mwanaume usawa unakaba huna hata shilingi lakini mkeo hawezi kukusaidia hata kama pesa anayo... wengi tunapitia changamoto hizi lakini tunavumilia.
 
Ndoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya

Nyumba kaikuta na kila kitu ndani

Akicheza anabeba begi kwao!!

Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!

Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Wewe ukishatoa Supply zote za nyumbani na watoto basi hudaiwi kitu umeshatimiza wajibu wako wa kuletwa hapa Duniani.
 
Mambo ni magumu kiasi chake maana kipato cha mwanamke ni chake, na kipato cha mwanaume ni cha wote... Lakini pia kuna mazingira ya kikazi ya mwanamke yanaleta hali ya sintofahamu ktk suala la kuaminiana kihisia... Huu utaratibu wa kusema MSAIDIANE nadhani hakuna mashiko sana na hii inapelekea mwanaume kujikuta unatengeneza bomu linalokuja kukulipukia mwenyewe baadae. NAJUTA MIMI

Hongereni mliooa mama wa nyumbani na heshima mnaipata
Nyumbani anarudi amechoka( which is true), watoto wanalelewa na Houde girl kama mayatima na bado hizo pesa anazotafita hazina faid kwa familia.

Nilikuwa mjanja sana kuoa House Wife ambaye ananipa huduma zote mimi King wake.
She is my Queen in my small Palace.
 
Wanawake wengi (japo si wote) asilimia kubwa ni selfish linapokuja suala la kutumia kipato chake kwa ajili ya familia.. mda mwingine mwanaume usawa unakaba huna hata shilingi lakini mkeo hawezi kukusaidia hata kama pesa anayo... wengi tunapitia changamoto hizi lakini tunavumilia.
Hii ni kweli.

Tena unakuta anakuzidi na kipato na bado hawezi kununua Mafuta ya kupikia na anakukazia kabisa.
 
Hatukatai mume ndiye mwenye jukumu la kutunza familia ila mwanamke mwenye kipato lazima awe supportive ndio maana ya msaidizi
Hatukatai kufanya kazi na kuingiza kipato


Sasa kama anarudi amechoka anashinda kazini( kazi zinachosha sio madihala), dyudyu unaila kwa ratiba tena kwa wasi wasi sana.

Then Hela nazo hazidanyi kazi ya kifamilia sasa huyu mtu ana faida gan?

Kama faida ni kuzaa mbona hata panya wanazaa?

Faida za kuoa primary kabisa ni kupiga dyudyu na kutuliza nafsi.

Mengine ni nyongeza tu
 
Wanawake wengi (japo si wote) asilimia kubni selfish linapokuja suala la kutumia kipato chake kwa ajili ya familia.. mda mwingine mwanaume usawa unakaba huna hata shilingi lakini mkeo hawezi kukusaidia hata kama pesa anayo... wengi tunapitia changamoto hizi lakini tunavumilia.
Hii ni kweli.

Tena unakuta anakuzidi na kipato na bado hawezi kununua Mafuta ya kupikia na anakukazia kabi

Hii ni kweli.

Tena unakuta anakuzidi na kipato na bado hawezi kununua Mafuta ya kupikia na anakukazia kabisa.
Na ndo maana kama vijana au wanaume tusiendekeze nyege in our 20s and early 30s katika kipindi hiki tujitafute na tuwekeze vya kutosha ili tuwe na uhakika wa kuwa na kipato kizuri kuanzisha familia. Hii itatujengea kujiamini na kutoitegemea pesa ya mwanamke. Kumbukeni kuoa mabikra wazee mkishajipata 🤣.
 
Wanawake wengi (japo si wote) asilimia kubni selfish linapokuja suala la kutumia kipato chake kwa ajili ya familia.. mda mwingine mwanaume usawa unakaba huna hata shilingi lakini mkeo hawezi kukusaidia hata kama pesa anayo... wengi tunapitia changamoto hizi lakini tunavumilia.



Na ndo maana kama vijana au wanaume tusiendekeze nyege in our 20s and early 30s katika kipindi hiki tujitafute na tuwekeze vya kutosha ili tuwe na uhakika wa kuwa na kipato kizuri kuanzisha familia. Hii itatujengea kujiamini na kutoitegemea pesa ya mwanamke. Kumbukeni kuoa mabikra wazee mkishajipata 🤣.
Hii pointi sana
 
Back
Top Bottom