Mafeking
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 225
- 471
Sisi tulio-oa housewife tunasoma shuhuda🤣Kuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tulio-oa housewife tunasoma shuhuda🤣Kuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Nini hasa sababu ya msingi iliyokufanya uoe?Ndoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Kabla ya ndoa, vipato vyenu vinakuwa vyenu
Baada ya ndoa, kipato Cha mwanamke ni chake. Cha kwako ni chenu!
"Kataa ndoa" Wana sababu za msingi
Mnawapataga wapi HaoNdoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Kataa kuoa mwanamke mwenye mshahara.Wote wanajuta.
Mume anajuta , mke anajuta.
Wameingia chaka
Na nani!!!Shida nini mkuu,mwisho wa mwezi wote si mnaweka hela mezani mnazipangia matumizi?
😃😃Na nani!!!
Mwanamke???
Nilichoona Kwenye maisha ya wanaume wengi, kwa asilimia kubwa mwanamke ambae atakupa sapoti ambayo itafanya uinuke kiuchumi ni mama mzazi na ndugu wa kike, hao wanawake wengine wanakuja kwa nia ya kuchuna tu.Kuna rafiki yangu, yuko kwenye hatua za kuachana na mke wake, mtumishi wa umma.
Alioa kwa lengo la kusaidiana maisha
Hata huyo mwenye kazi usioe kwanza mkuu kama una mawazo haya.Mimi hata iweje siwezi kuoa jobless, acha niuawe na mwenzangu ili hata akileta mbwembwe najua kabisa sijatoboka kiivyo. Najua kuna vitu atakuwa amenipunguzia vidogovidogo mfn hela ya ped, kusuka nk
Namshukuru Mungu wa mbinguni sababu baadhi yetu tumebarikiwa kupata wenza sahihi sana, tchaaah'..!🙌Ndoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Unajua jamaa sijamuelewa 😂 aje labda atakuwa na cha kusema😃😃
Mwambie huyu mtoto anadhani maisha ni mepesi kiasi hiko!Mdau usioe kwasababu ya kusaidiwa maisha!!
Ela yetu inauma balaa YaniUnajua jamaa sijamuelewa 😂 aje labda atakuwa na cha kusema
Sio kusaidiwa majukumu yangu mkuu ila tu yeye aweze kusimama kwa miguu yake.Mdau usiwe kwasababu ya kusaidiwa maisha!!
Kwanini tuchelewe kwa mfano??Hata huyo mwenye kazi usioe kwanza mkuu kama una mawazo haya.
So ukioa leo kesho mkachelewa kwenye fungate akafukuzwa kazi utamuacha kisa kumpa hela ya kusuka na pedi?
Kwa mtumishi maumivu ni makali zaidi, kutwa nzima mke hayupo nyumbani na bado anataka mume atoe huduma zote.Maumivu ni yale yale uoe Mtumishi na Usioe Mtumishi hakuna kinacho badilika.
Moto mkali unawaka ndugu, hatuna cha kufanya tu.Kuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.