Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Hapo sasaMwanaume unakaa kabisa unaipigia hesabu hela ya mwanamke?
Kwanza sisi hela tunatoa wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasaMwanaume unakaa kabisa unaipigia hesabu hela ya mwanamke?
Sasa nyumba umejenga mwenyewe lakini unaiogopa mpaka unakaa masaa sita kati ya 24 mbona unajitesa sanaNdoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Nilichoona Kwenye maisha ya wanaume wengi, kwa asilimia kubwa mwanamke ambae atakupa sapoti ambayo itafanya uinuke kiuchumi ni mama mzazi na ndugu wa kike, hao wanawake wengine wanakuja kwa nia ya kuchuna tu.
Ni mara chache kukuta mwanaume ni tajiri sababu amepewa sapoti na mkewe au mchumba Rabboni Natafuta Ajira
Kama mwanamke anaingiza kipato na hana msaada wowote hapo hauna mke umeoa jambazi
Hatukatai mume ndiye mwenye jukumu la kutunza familia ila mwanamke mwenye kipato lazima awe anamsupport mume wake ndio maana ya msaidiziwa
Ndio walivyo, kwenye media wanaonekana mahiri wenye kujiamini, ukija kiuhalisia hata makofi anakula akizingua na hawasemi popoteYaani ukikutana na Fatma Karume kwa Ground utashangaa sana.
Yale anayosema yanaishia kwenye media tu
Bora umeongea hilo ili waliooa majambazi wajitafakari😀Kama mwanamke anaingiza kipato na hana msaada wowote hapo hauna mke umeoa jambazi
Hatukatai mume ndiye mwenye jukumu la kutunza familia ila mwanamke mwenye kipato lazima awe anamsupport mume wake ndio maana ya msaidizi
Ile ni kazi kama kazi nyingineNdio walivyo, kwenye media wanaonekana mahiri wenye kujiamini, ukija kiuhalisia hata makofi anakula akizingua na hawasemi popote
hatari sanaaaNdoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
🤣🤣🤣Engonga kawa proof right kataa ndoa, ndoa utapeli
Wachache sana wanaelewa haya mamboShida nini mkuu,mwisho wa mwezi wote si mnaweka hela mezani mnazipangia matumizi?
dadadeki 🤣🤣🤣Hapo sasa
Kwanza sisi hela tunatoa wapi
Utaweza kuvumilia kuona mke wako anapigwa nusu na bos wakeKuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Watoto muhimu Sana badae nitazeeka watoto watamkumbuka tu baba maana wanasoma kwa pesa yanguNini hasa sababu ya msingi iliyokufanya uoe?
Sio Vita Ila ndoa zinazodumu ni za mama wa nyumbani fanya utafitiUnazingua mzee kwan ni vita huyo ni mkeo.
Mtifuano haswa haswa.Kuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Hakuna Cha ukatili Bibi yangu alikuwa mama wa nyumbani, Mama yangu mama wa nyumbani Mimi Nani mke wangu awe mdandia daladala na kusimamia na mguu mmoja halafu usiku huduma atoe Nani beki 3?Ukatili sana huu