Wale mliofungiwa NIDA zenu (Blacklist) na TCRA kusajili line mpya njooni hapa mtoe shuhuda zenu na jinsi mlivyopata solution

Wale mliofungiwa NIDA zenu (Blacklist) na TCRA kusajili line mpya njooni hapa mtoe shuhuda zenu na jinsi mlivyopata solution

Je, unajua sababu ya NIN yako kublacklistiw..?
Mmoja kati ya wateja wangu alidai ameenda tcra kufuatili wakamwambia aende tigo ndio kuna tatizo. Alipoenda tigo wakamuambia hakuna tatizo labda aende tcra. Alivyorudi tcra tena wakamwambia aende tigo watume email tcra. Alivyorudi tena tigo wakamwambia kwao hakuna tatizo. Sasa mteja akabaki na changamoto ambayo haijatatuliwa. Na wapo wengi kama hao ninakutana nao. Kama unaweza kusolve hili hata kwa pm nitashukuru. Uzuri wa wateja wangu hela sio tatizo kwao.
 
Je, unajua sababu ya NIN yako kublacklistiw..?
Mmoja kati ya wateja wangu alidai ameenda tcra kufuatili wakamwambia aende tigo ndio kuna tatizo. Alipoenda tigo wakamuambia hakuna tatizo labda aende tcra. Alivyorudi tcra tena wakamwambia aende tigo watume email tcra. Alivyorudi tena tigo wakamwambia kwao hakuna tatizo. Sasa mteja akabaki na changamoto ambayo haijatatuliwa. Na wapo wengi kama hao ninakutana nao. Kama unaweza kusolve hili hata kwa pm nitashukuru. Uzuri wa wateja wangu hela sio tatizo kwao.
 
Mimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.
Akifika kwako mwambie kwanini anatutumia msg kwamba ile pesa tuma kwenye namba hii. Either hao ni matapeli wa mtandao ndo mana TCRA wameifungia NIN yake.
 
Akifika kwako mwambie kwanini anatutumia msg kwamba ile pesa tuma kwenye namba hii. Either hao ni matapeli wa mtandao ndo mana TCRA wameifungia NIN yake.
Sawa sawa mkuu
 
Kwa sasa ukipokea sms ya utapeli usiifoward au kumrudishia aliyekutumia
Wewe itume hiyo namba TCRA. Baada ya muda ukipiga ile namba haitapatikana
 
Kwa sasa ukipokea sms ya utapeli usiifoward au kumrudishia aliyekutumia
Wewe itume hiyo namba TCRA. Baada ya muda ukipiga ile namba haitapatikana
Shukran sana. Nitafikisha ujumbe kwa wateja.
 
Mimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.
Kama wewe ni mtoa huduma , huna bos wako? Huna mamlaka ya kuuliza? Piga hata 100 basi wao wana majibu
 
Mimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.
Hao watu kamata ni wale matapeli wa mtandaoni
 
Kwa sasa ukipokea sms ya utapeli usiifoward au kumrudishia aliyekutumia
Wewe itume hiyo namba TCRA. Baada ya muda ukipiga ile namba haitapatikana

Namba ya tcra ipi?
 
Mkuu swala lakufungiwa nida sio lazima uwe tapel hata hawa mawakala wausajir wanatusababishia mtu ana kusajiria line tatu naanaondoka nazo kwenda kuuza hapa mie nimhanga wa nida nambazagu zinafanya kazi vizur tu ila nida iko bracklist naitaji msaada wa kufunguliwa
 
Back
Top Bottom