Wale mliokuwa mkiimba kuwa Simba SC ya Matola haifungwi na apewe Timu tuendelee Kuimba au?

Wale mliokuwa mkiimba kuwa Simba SC ya Matola haifungwi na apewe Timu tuendelee Kuimba au?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Aliyesema (aliyetuita) wana Simba SC ni Mbumbumbu wala hakukosea. Na tunastahili kuitwa Mambumbumbu.

Eti Matola apewe Timu. Asanteni sana Prisons FC na Simba SC tafadhali mpeni Timu Moja kwa Moja Kocha Mnafiki na mwana Yanga SC sawa?

Hivi Yanga SC leo hii pamoja na Mafanikio yake Kocha Minziro huko aliko wanaweza kweli Kuthubutu kumpa Timu yao na awe Kocha Mkuu?

Na namalizia kuwakereni makusudi kuwa kama Simba SC itambakiza Kocha Matola tegemeeni Kuukosa tena Ubingwa wa Ligi Kuu Msimu ujao na hata Kufungwa na Yanga SC kwani Yanga SC huwa wanapitia Kwake, kwa Meneja Patrick Rweymamu na Mwenyekiti Murtaza Mangungu.

Nimemaliza.
 
Kufungwa Jana sio kigezo cha yeye kuporwa timu, Klopp na Guardiola nao timu zao zinafungwa vile vile. Hata Matola angeshinda mechi zote alizoachiwa Simba, tena kwa goal difference ya 4+ , Bado asingekabidhiwa timu.

So, mashabiki wa Simba kuweni fair kwenye kumjudge
 
Ungeangalia Position aliyokuwa Tanzania Prisons kabla na baada ya Game, Ungeelewa kwanini Simba jana kafungwa.

Nafasi aliyopo Simba hato drop chini wala kupanda kwenye matokeo yote ya kushinda au kushindwa.

Hii issue kwa Tanzania Prisons ilikuwa tofauti, angepigwa angekaa kwenye kundi la kushuka bila Play Off.

Baada ya ushindi wa jana kapanda nafasi ya 14, Kabla ya game la Jana ilikuwa inatakiwa ashinde game 2 zilizobaki kurejesha matumaini ya kubaki League kuu.

Game ngumu kati ya hizo 2 ilikuwa hiyo ya jana. Hawa wakongwe wanajuana.

Me sio mshabiki wa Simba, najaribu kuongea kimpira tu.
 
Ungeangalia Position aliyokuwa Polisi Tanzania kabla na baada ya Game, Ungeelewa kwanini Simba jana kafungwa...
Mpira siku hizi haupo hivyo wewe kolo

Haijalishi nani? Na yupo kwenye nafasi gani? Anzeni kukubali matokeo ya mpira yanayotokea na hii Simba ni mbovu sana ikiwa kwenye away games msimu huu
 
Ungeangalia Position aliyokuwa Polisi Tanzania kabla na baada ya Game, Ungeelewa kwanini Simba jana kafungwa.

Nafasi aliyopo Simba hato drop chini wala kupanda kwenye matokeo yote ya kushinda au kushindwa.

Hii issue kwa Polisi Tanzania ilikuwa tofauti, angepigwa angekaa kwenye kundi la kushuka bila Play Off.

Baada ya ushindi wa jana kapanda nafasi ya 14, Kabla ya game la Jana ilikuwa inatakiwa ashinde game 2 zilizobaki kurejesha matumaini ya kubaki League kuu.

Game ngumu kati ya hizo 2 ilikuwa hiyo ya jana. Hawa wakongwe wanajuana.

Me sio mshabiki wa Simba, najaribu kuongea kimpira tu.
Mmmmm! Mkuu, ni POLISI TANZANIA?
 
Kufungwa Jana sio kigezo cha yeye kuporwa timu, Klopp na Guardiola nao timu zao zinafungwa vile vile. Hata Matola angeshinda mechi zote alizoachiwa Simba, tena kwa goal difference ya 4+ , Bado asingekabidhiwa timu.

So, mashabiki wa Simba kuweni fair kwenye kumjudge
Fact.
 
Kwenye ule uzi wako ulisema mechi zote za Matola atashinda tena kwa magolo mengi ajuwa na haohao wachezaji, nadhani leo umejiona jinsi ulivyo mjinga.
 
Mikia pambaneni wenyewe
FB_IMG_1656247544840.jpg
 
Kufungwa Jana sio kigezo cha yeye kuporwa timu, Klopp na Guardiola nao timu zao zinafungwa vile vile. Hata Matola angeshinda mechi zote alizoachiwa Simba, tena kwa goal difference ya 4+ , Bado asingekabidhiwa timu.

So, mashabiki wa Simba kuweni fair kwenye kumjudge
Hovyo kabisa Wewe.
 
Ungeangalia Position aliyokuwa Tanzania Prisons kabla na baada ya Game, Ungeelewa kwanini Simba jana kafungwa.

Nafasi aliyopo Simba hato drop chini wala kupanda kwenye matokeo yote ya kushinda au kushindwa.

Hii issue kwa Tanzania Prisons ilikuwa tofauti, angepigwa angekaa kwenye kundi la kushuka bila Play Off.

Baada ya ushindi wa jana kapanda nafasi ya 14, Kabla ya game la Jana ilikuwa inatakiwa ashinde game 2 zilizobaki kurejesha matumaini ya kubaki League kuu.

Game ngumu kati ya hizo 2 ilikuwa hiyo ya jana. Hawa wakongwe wanajuana.

Me sio mshabiki wa Simba, najaribu kuongea kimpira tu.
Watu wasio na Akili ( yaani Fools ) ndiyo huja na sababu za Kipuuzi na Kitoto kama hizi ( hii yako ) huna unachokijua Oky?
 
Mpira siku hizi haupo hivyo wewe kolo

Haijalishi nani? Na yupo kwenye nafasi gani? Anzeni kukubali matokeo ya mpira yanayotokea na hii Simba ni mbovu sana ikiwa kwenye away games msimu huu
Mkuu acha Kupoteza muda wako na hao wana Simba SC wasiojielewa na Mazuzu ( Majuha ) kama huyo na Wengineo JF.
 
Kwenye bandiko lako lililopita ulisema hii simba ya matola itashinda mechi zote tena kwa goli nyingi?
Imekuaje tena😳😳😳
 
Naona Genta anapingana na maneno yake, siku ile alisema baada ya Matola kupewa timu game zinazofuata zote watashinda, leo anasema mengine
Hukunielewa Concept yangu Kuu katika ule Uzi na wala siyo Kosa bali ni Kosa la Upumbavu ( Upopoma ) wako uliokutukuka. Kwa taarifa yako ule Uzi niliuandika nikiwa namaanisha ( nalenga ) kuwa Kocha Matola siyo Mtu sahihi Kwetu na kwamba hatufai na hatotufaa kwani ana Majungu na ndiyo anaongoza kwa Kuwaharibia Makocha wote Wageni wanaokuja Simba SC.
 
Back
Top Bottom