Wale mliokuwa mkiimba kuwa Simba SC ya Matola haifungwi na apewe Timu tuendelee Kuimba au?

Wale mliokuwa mkiimba kuwa Simba SC ya Matola haifungwi na apewe Timu tuendelee Kuimba au?

Kwenye ule uzi wako ulisema mechi zote za Matola atashinda tena kwa magolo mengi ajuwa na haohao wachezaji, nadhani leo umejiona jinsi ulivyo mjinga.
Hukunielewa Concept yangu Kuu katika ule Uzi na wala siyo Kosa bali ni Kosa la Upumbavu ( Upopoma ) wako uliokutukuka. Kwa taarifa yako ule Uzi niliuandika nikiwa namaanisha ( nalenga ) kuwa Kocha Matola siyo Mtu sahihi Kwetu na kwamba hatufai na hatotufaa kwani ana Majungu na ndiyo anaongoza kwa Kuwaharibia Makocha wote Wageni wanaokuja Simba SC.
 
Hukunielewa Concept yangu Kuu katika ule Uzi na wala siyo Kosa bali ni Kosa la Upumbavu ( Upopoma ) wako uliokutukuka. Kwa taarifa yako ule Uzi niliuandika nikiwa namaanisha ( nalenga ) kuwa Kocha Matola siyo Mtu sahihi Kwetu na kwamba hatufai na hatotufaa kwani ana Majungu na ndiyo anaongoza kwa Kuwaharibia Makocha wote Wageni wanaokuja Simba SC.
Wewe huwa unadhani unayaweza sana matusi kuliko wengine humu? Ni kwamba huwa hatutaki kuonekana hatuna ubongo, ila kama ndio unachopenda endelea.
 
Wewe huwa unadhani unayaweza sana matusi kuliko wengine humu? Ni kwamba huwa hatutaki kuonekana hatuna ubongo, ila kama ndio unachopenda endelea.
Hopeless acha kunipotezea muda tafadhali sawa?
 
Hopeless acha kunipotezea muda tafadhali sawa?
Mimi sipotezi muda, aliyepoteza muda ni yule aliyetunza shahawa za mjinga fulani kwa miezi tisa, ili aje azae jitu jinga lisilo na maisha kama mleta mada.
 
Mimi sipotezi muda, aliyepoteza muda ni yule aliyetunza shahawa za mjinga fulani kwa miezi tisa, ili aje azae jitu jinga lisilo na maisha kama mleta mada.
Mpaka umenijibu hivi ina maana Sindano zangu nilizokupa zimekuingia vilivyo na sasa unaweweseka na Kuhamka hivi tu.
 
Unata
Ungeangalia Position aliyokuwa Tanzania Prisons kabla na baada ya Game, Ungeelewa kwanini Simba jana kafungwa.

Nafasi aliyopo Simba hato drop chini wala kupanda kwenye matokeo yote ya kushinda au kushindwa.

Hii issue kwa Tanzania Prisons ilikuwa tofauti, angepigwa angekaa kwenye kundi la kushuka bila Play Off.

Baada ya ushindi wa jana kapanda nafasi ya 14, Kabla ya game la Jana ilikuwa inatakiwa ashinde game 2 zilizobaki kurejesha matumaini ya kubaki League kuu.

Game ngumu kati ya hizo 2 ilikuwa hiyo ya jana. Hawa wakongwe wanajuana.

Me sio mshabiki wa Simba, najaribu kuongea kimpira tu.
Unataka kusema simba wamefanya match fixing?
 
Hukunielewa Concept yangu Kuu katika ule Uzi na wala siyo Kosa bali ni Kosa la Upumbavu ( Upopoma ) wako uliokutukuka. Kwa taarifa yako ule Uzi niliuandika nikiwa namaanisha ( nalenga ) kuwa Kocha Matola siyo Mtu sahihi Kwetu na kwamba hatufai na hatotufaa kwani ana Majungu na ndiyo anaongoza kwa Kuwaharibia Makocha wote Wageni wanaokuja Simba SC.
Mbona makocha wote wanafukuzwa ila yeye hang'oki?
 
Back
Top Bottom