GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Hukunielewa Concept yangu Kuu katika ule Uzi na wala siyo Kosa bali ni Kosa la Upumbavu ( Upopoma ) wako uliokutukuka. Kwa taarifa yako ule Uzi niliuandika nikiwa namaanisha ( nalenga ) kuwa Kocha Matola siyo Mtu sahihi Kwetu na kwamba hatufai na hatotufaa kwani ana Majungu na ndiyo anaongoza kwa Kuwaharibia Makocha wote Wageni wanaokuja Simba SC.Kwenye ule uzi wako ulisema mechi zote za Matola atashinda tena kwa magolo mengi ajuwa na haohao wachezaji, nadhani leo umejiona jinsi ulivyo mjinga.
Aliyekuzaa.
Wewe huwa unadhani unayaweza sana matusi kuliko wengine humu? Ni kwamba huwa hatutaki kuonekana hatuna ubongo, ila kama ndio unachopenda endelea.Hukunielewa Concept yangu Kuu katika ule Uzi na wala siyo Kosa bali ni Kosa la Upumbavu ( Upopoma ) wako uliokutukuka. Kwa taarifa yako ule Uzi niliuandika nikiwa namaanisha ( nalenga ) kuwa Kocha Matola siyo Mtu sahihi Kwetu na kwamba hatufai na hatotufaa kwani ana Majungu na ndiyo anaongoza kwa Kuwaharibia Makocha wote Wageni wanaokuja Simba SC.
Hopeless acha kunipotezea muda tafadhali sawa?Wewe huwa unadhani unayaweza sana matusi kuliko wengine humu? Ni kwamba huwa hatutaki kuonekana hatuna ubongo, ila kama ndio unachopenda endelea.
Mimi sipotezi muda, aliyepoteza muda ni yule aliyetunza shahawa za mjinga fulani kwa miezi tisa, ili aje azae jitu jinga lisilo na maisha kama mleta mada.Hopeless acha kunipotezea muda tafadhali sawa?
Mpaka umenijibu hivi ina maana Sindano zangu nilizokupa zimekuingia vilivyo na sasa unaweweseka na Kuhamka hivi tu.Mimi sipotezi muda, aliyepoteza muda ni yule aliyetunza shahawa za mjinga fulani kwa miezi tisa, ili aje azae jitu jinga lisilo na maisha kama mleta mada.
Unataka kusema simba wamefanya match fixing?Ungeangalia Position aliyokuwa Tanzania Prisons kabla na baada ya Game, Ungeelewa kwanini Simba jana kafungwa.
Nafasi aliyopo Simba hato drop chini wala kupanda kwenye matokeo yote ya kushinda au kushindwa.
Hii issue kwa Tanzania Prisons ilikuwa tofauti, angepigwa angekaa kwenye kundi la kushuka bila Play Off.
Baada ya ushindi wa jana kapanda nafasi ya 14, Kabla ya game la Jana ilikuwa inatakiwa ashinde game 2 zilizobaki kurejesha matumaini ya kubaki League kuu.
Game ngumu kati ya hizo 2 ilikuwa hiyo ya jana. Hawa wakongwe wanajuana.
Me sio mshabiki wa Simba, najaribu kuongea kimpira tu.
Hana Akili huyo Mkuu achana nae kwani atakuambukiza 'Upopoma' wake pia.Unata
Unataka kusema simba wamefanya match fixing?
Wapumbavu ( Mapopoma ) wengi watakubishia na Kukukatalia.Matola hafai
Naona imesaidia kukuweka low-key.Mpaka umenijibu hivi ina maana Sindano zangu nilizokupa zimekuingia vilivyo na sasa unaweweseka na Kuhamka hivi tu.
Mbona makocha wote wanafukuzwa ila yeye hang'oki?Hukunielewa Concept yangu Kuu katika ule Uzi na wala siyo Kosa bali ni Kosa la Upumbavu ( Upopoma ) wako uliokutukuka. Kwa taarifa yako ule Uzi niliuandika nikiwa namaanisha ( nalenga ) kuwa Kocha Matola siyo Mtu sahihi Kwetu na kwamba hatufai na hatotufaa kwani ana Majungu na ndiyo anaongoza kwa Kuwaharibia Makocha wote Wageni wanaokuja Simba SC.
Ana Chale na Hirizi za Kwao Mkoani Kigoma hadi katika Kope zake za Macho.Mbona makocha wote wanafukuzwa ila yeye hang'oki?
Huyu jamaa hana kumbukumbu nzuri ni kigeugeuNaona Genta anapingana na maneno yake, siku ile alisema baada ya Matola kupewa timu game zinazofuata zote watashinda, leo anasema mengine