Wale mlionidhihaki na kunibishia niliposema hapa JF kuwa Manzoki haji Simba SC mbona hamnipigii 'Salute' yangu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nakumbuka nilipoiandika ile Mada ( nilipouanzisha ule Uzi ) kama kawaida GENTAMYCINE nilishambuliwa ila kama Kawaida yangu niliendelea Kujiamini huku nikiwa na uhakika tena wa 100% kuwa Mchezaji Ceaser Lobi Manzoki haji ng'o Simba SC na kwamba Uongozi wa Simba SC unawafanyeni Mazuzu na Kuwadanganya kuhusu Ujio wake.

Ifike muda muwe mnakubali tu kuwa kuna Watu Wengine hapa duniani Mwenyezi Mungu kawabariki na Shani ( Tunu ) nyingi zikiwemo na za kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…