GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mpira haujaishaMimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Ifike muda sasa muwe mnanielewa na mkubali kuwa Nimebarikiwa vingi na Mola sawa?
Ni Mchezaji mwenye Nuksi mno SSC. Na kudhihirisha hilo hata sasa Kocha amemtoa Nuksi wenu Kapombe.
99,% ya Pre Match Meeting alizofanya Simba SC imefungwa na chavhe sana imeshinda tena kwa taabu mno..
Kudadadeki.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!upo sahihi
Tumepoteza nafasi nyingi sana bila shaka jamaa wamesomea albadir langoni kwao...Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Ifike muda sasa muwe mnanielewa na mkubali kuwa Nimebarikiwa vingi na Mola sawa?
Ni Mchezaji mwenye Nuksi mno SSC. Na kudhihirisha hilo hata sasa Kocha amemtoa Nuksi wenu Kapombe.
99,% ya Pre Match Meeting alizofanya Simba SC imefungwa na chavhe sana imeshinda tena kwa taabu mno..
Kudadadeki.
Genta the king katika ubora wako,
Umepigaje hapo..?
Ukiona naandika Jambo / Kitu hapa JamiiForums nakuomba sana uwe Unakiamini kwa 99% sawa Mkuu?Genta the king katika ubora wako,
Umepigaje hapo..?
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King kwanini hamtaki Kukubali na kuamini kuwa NIMEBARIKIWA zaidi yenu na Mwenyezi Mungu?Hats off - the great antibiotic
ha ha kweli ana nuksiMimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Ifike muda sasa muwe mnanielewa na mkubali kuwa Nimebarikiwa vingi na Mola sawa?
Ni Mchezaji mwenye Nuksi mno SSC. Na kudhihirisha hilo hata sasa Kocha amemtoa Nuksi wenu Kapombe.
99,% ya Pre Match Meeting alizofanya Simba SC imefungwa na chavhe sana imeshinda tena kwa taabu mno..
Kudadadeki.
Nikiwa nasema Jambo hapa JamiiForums uwe unaliamini kwa 99% sawa Mkuu?ha ha kweli ana nuksi