Wale mlionitukana niliposema kuwa Kapombe ana Nuksi kila akifanya Pre Match Meeting mpo wapi sasa?

Wale mlionitukana niliposema kuwa Kapombe ana Nuksi kila akifanya Pre Match Meeting mpo wapi sasa?

Njooni mchukue
 

Attachments

  • FB_IMG_17117436221322215.jpg
    FB_IMG_17117436221322215.jpg
    335.9 KB · Views: 1
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Ifike muda sasa muwe mnanielewa na mkubali kuwa Nimebarikiwa vingi na Mola sawa?

Ni Mchezaji mwenye Nuksi mno SSC. Na kudhihirisha hilo hata sasa Kocha amemtoa Nuksi wenu Kapombe.

99,% ya Pre Match Meeting alizofanya Simba SC imefungwa na chavhe sana imeshinda tena kwa taabu mno..

Kudadadeki.
😂😂😂😂😂
Huwa unapenda kizitafuta Kiki za Kijinga kwa nguvu zote
 
Aisee we Jamaa ni mtu wa hovyo sana halafu unapenda sana shari, yaani unaumuka mpaka mitandaoni. Halafu matusi sio Ujanja wala Sifa ya Mwanamume kamili. Kubanduliwa eti 😂😂😂 inawezekana Wewe wamesha ku unsealed tayari 🤣📌
Usimchukulie huyu jamaa serious, mkuu.

Hii ni identity yake aliyoichagua kwenye hii I'd. Lugha Kali na za kuudhi. Unaweza Kuta ana I'd nyingine alafu ikawa ni ya upole na ustaarabu sana na mkawa marafiki pengine kwenye hiyo I'd.

So, kujibizana nae ni kupoteza muda tu mana utajikuta unaingia kwenye mfumo wake,wa lugha ya majibizano yasiyo na staha.

Hawa watu wa aina hii wapo Kila mahali, Twitter ( X), FB na Ig. Zinaitwa parody accounts. Ni I'd ambazo zipo kwa ajili ya vita na matusi tu,basi!

Huwezi kujibizana na watu wa aina hii ukategemea kushinda. Zaidi sana utaishia kuchukia na kupanda hasira wakati mwenzio yupo zake ghetto anakuna pumbu,Huku anakucheka jinsi mnavyotukanana na unavyopanick

Hizo ndiyo athari hasi za teknolojia (internet).


La msingi tu tambua Hawa watu wanapitia changamoto nyingi sana. Na hiki wanachofanya ni kutafuta relief. Mfano kabla ya mechi jamaa kaandika nyuzi nyingi sana. Unagundua Kuna tatizo mahali.

Watu kama hawa ni wa kuwaonea huruma tu mkuu. Usiingie kwenye mfumo wa kujibizana nao, wewe ni Bora sana.

Unaikumbuka I'd ya Mbao za Mawe ? katafute Uzi wake mmoja akicomfess jinsi Gani amewatesa watu wa Jf na staili zake za matusi na majibizano ya hovyo kama Genta kwa IDs zake tofauti . Akazitaja zote, though Kuna zingine hazikuwa I'd za matusi Bali za kufurahisha watu na akaomba msamaha kwa mambo aliyofanya miaka mingi na hizo IDs za hovyo .
 
Nilikuwa NAKUHESHIMU POPOMA ILA NIMESOMA MIND YAKO NI LOW MIND PERSON UNAPENDA LAWAMA LAWAMA UJINGA HUO BADILIKA MTASINGIZIA KILA KITU
 
Usimchukulie huyu jamaa serious, mkuu.

Hii ni identity yake aliyoichagua kwenye hii I'd. Lugha Kali na za kuudhi. Unaweza Kuta ana I'd nyingine alafu ikawa ni ya upole na ustaarabu sana na mkawa marafiki pengine kwenye hiyo I'd.

So, kujibizana nae ni kupoteza muda tu mana utajikuta unaingia kwenye mfumo wake,wa lugha ya majibizano yasiyo na staha.

Hawa watu wa aina hii wapo Kila mahali, Twitter ( X), FB na Ig. Zinaitwa parody accounts. Ni I'd ambazo zipo kwa ajili ya vita na matusi tu,basi!

Huwezi kujibizana na watu wa aina hii ukategemea kushinda. Zaidi sana utaishia kuchukia na kupanda hasira wakati mwenzio yupo zake ghetto anakuna pumbu,Huku anakucheka jinsi mnavyotukanana na unavyopanick

Hizo ndiyo athari hasi za teknolojia (internet).


La msingi tu tambua Hawa watu wanapitia changamoto nyingi sana. Na hiki wanachofanya ni kutafuta relief. Mfano kabla ya mechi jamaa kaandika nyuzi nyingi sana. Unagundua Kuna tatizo mahali.

Watu kama hawa ni wa kuwaonea huruma tu mkuu. Usiingie kwenye mfumo wa kujibizana nao, wewe ni Bora sana.

Unaikumbuka I'd ya Mbao za Mawe ? katafute Uzi wake mmoja akicomfess jinsi Gani amewatesa watu wa Jf na staili zake za matusi na majibizano ya hovyo kama Genta kwa IDs zake tofauti . Akazitaja zote, though Kuna zingine hazikuwa I'd za matusi Bali za kufurahisha watu na akaomba msamaha kwa mambo aliyofanya miaka mingi na hizo IDs za hovyo .

smarter than i expected
 
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Ifike muda sasa muwe mnanielewa na mkubali kuwa Nimebarikiwa vingi na Mola sawa?

Ni Mchezaji mwenye Nuksi mno SSC. Na kudhihirisha hilo hata sasa Kocha amemtoa Nuksi wenu Kapombe.

99,% ya Pre Match Meeting alizofanya Simba SC imefungwa na chavhe sana imeshinda tena kwa taabu mno..

Kudadadeki.
Nimekubali.
 
Wapumbavu wenzie watamwamini tahira mwenzao

Kwa Akili za kipumbavu zinaamini Quality ya wachezaji haiamui mechi.

Saido kupoteza nafasi nne sawa.
Kanute kupoteza nafasi Tatu sawa kabisa.

Wapumbavu wanaamini uwezo wa wachezaji wa simba ni mkubwa mno.

Viongozi na wanaosajili wachezaji wapo sawa tu.

BORA UKOSE MALI UPATE AKILI.
 
Back
Top Bottom