Wale mliopata wachumba JamiiForums hatimae kufunga ndoa

Wale mliopata wachumba JamiiForums hatimae kufunga ndoa

Poleee sana ndugu umesahau ulinipa no yako sjakutafuta haya povuka kadri uwezavyo najua tu lazima upovuke
Hahahh..! Eti nilikupa namba yangu inaweza kuwa kweli ingawa sikumbuki nilikupa ufanyeje, kumbukumbu zangu zinaniambia sikuwahi kukutamani tangu nikuone..!

Bila shaka ata mr. Matunguri anajiuguza tuu, hajazeeka kivile mpk umtembeze mwendo wa mateka labda ajitoe sadaka tuu.
 
Hahahh..! Eti nilikupa namba yangu inaweza kuwa kweli ingawa sikumbuki nilikupa ufanyeje, kumbukumbu zangu zinaniambia sikuwahi kukutamani tangu nikuone..!

Bila shaka ata mr. Matunguri anajiuguza tuu, hajazeeka kivile mpk umtembeze mwendo wa mateka labda ajitoe sadaka tuu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ngja nikupotezee tu haina maana hya endelea kupovuka ukimalizaa nambie nijeee na mm
 
Kama kichwa cha habari hapo juu, mliofunga ndoa kutokana na JF, mlikumbuka kutoa shukran kwa Max Mello?
Si uugwana kuto kutoa asante katika jamii yetu.
Mkimualika kama yuko busy mimi si mind kuja badala yake au kwa niaba yake.
Hahahhhh Schoolmate buuana ukialikwa nialike na mimi please tukakule pilau na ubwabwa
 
Back
Top Bottom