Wale mliosema Simba SC ya Olivieira ilicheza Mechi ovyo, je, Simba SC ya leo ya Mgunda imecheza Mpira mzuri?

Wale mliosema Simba SC ya Olivieira ilicheza Mechi ovyo, je, Simba SC ya leo ya Mgunda imecheza Mpira mzuri?

Acheni upuuzi wenu.Mnatakiwa kujua kila mechi inakuwa na malengo yake.

Mechi hii Simba hawakuwa wameamua kufunga goli nyingi wala kukimbia sana kwani ni mechi ya mtoano,na pia wana reserve energy kwa mechi zijazo.

Hawa coastal walicheza kama fainali.Na utaona mechi ijayo watakavyopigwa kirahisi na timu yoyote watakayokutana nayo.

Timu nyingi zinazokutana na Simba,wakicheza kwa kuikamia mechi,mechi zao zinazofuata huwa wanapoteza kwa wapinzani wao.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ntaweka mkeka game ijayo ya coastal union.
 
Niliwahi kusema humu. Wachezaji wa Simba siyo robots [emoji880] nao pia watu wanahitaji mapumziko. Baada ya Mapinduzi ilipaswa wachezaji waliyo tumika sana wapewe mapumziko ya mda. Yanga waliyafanya haya na bado hajawa timamu sembuse Simba iliyounganisha Dubai na tizi la kufa mtu. Ni fatigue inasumbua wachezaji . Mtawalaumu bure tu. Mziki wa kucheza mfulilizo ni wachezaji viwango vya Ulaya na hata hao3 some time wanatepeta
Na bado haitoshi, pamoja na kuwepo na mechi za ligi na Azam Federation cup bado mnataka kucheza mechi ya kirafiki tarehe 5 huku tarehe 3 mkitoka kucheza na Singida
 
Haya leo Mswahili Mwenzenu Kocha Msaidizi Mgunda kaachiwa Timu je, Simba SC licha ya Kushinda na Kuhemewa na Coastal Union FC kila Saa huku katikati ( Midfield ) ikiwa imezidiwa vilivyo imecheza ule Mpira mkubwa mliokuwa mnamsifia nao Mswahili Mwenzenu Kocha Msaidizi Mgunda?

Mkiambiwa hamjui Mpira mnanuna.
Jibu utalipata ukifika ICU ya ugonjwa wa akili
 
Kama umeangalia mpira vzr,utaona coastal waliingia na mabeki watano,watatu wa kati na wawili kama kawaida pembeni.

Then wakajaza viungo watano,bila striker yoyote,kwa haraka tu utajua kuwa walitaka kujilinda ili wafike angalau matuta coz wangefunguka kama kawaida yao wangeumia nyingi.

Sasa mtu unajiuliza timu ina beki tano na viungo tano utachezaje???utapenya vp ili ufunge,zaidi ya kujaribu nje ya box,kama alivyofanya putin.

Halafu sio kila siku ni jumapili kuna siku wapinzani wanakuja na mbinu ngumu,cha muhimu timu bora huwa inashinda kwa hali yyte ile.
 
Kuna yule israel patrick mwenda simuoni
Huyu kapombe angetupisha.
Zimbwe ameanza kuchoka wangetafuta mbadala.
Baleke ni mfungaji mzuri bado ajakaa kwenye mfumo wa chama
Onyango, kennedy, outtara, Haya ni Madunduka yatupishe
Tunataka wachezaji wenye speed kama sakho.kifupi kuna wachezaji wengi tu wa simba ni Madunduka.sioni tukichukua ubingwa this time

mkuu kabisa uko serious unasema onyango na kennedy waondoke????sidhani kama unajua unachosema?
 
Back
Top Bottom