Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo uliahirishA game!? Una ujasiri mkuu. HongeraBaada ya kumpiga round 3 ndom zikawa zimeisha Dem akaniambia nimpige pekupeku hivyo hivyo eti nimwagie nje, nikakataa maana ule ulikua ni mtego wa yule singo maza
Sent using Gun Trigger
Kwahiyo wewe ni Mzee wa pekupeku!??Hata mimi nashangaa kabisa kwamba kuna watu bado wanatumia hizo mambo Ndox!!!!!
Hata nikimjibu nitatumia experience ya miaka mingi iliyopita aisee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah matumizi ya Condom ww yaache tuMliambiwa nini na na hao wapenzi wenu hadi mkakubali na kwenda nyama kwa nyama..
Ulishawishi vipi hadi akakubali!?
Na wewe uliyekubali hadi ukaamua ku take risk..ulipigwa sound gani!?.
Hii ni kwa wotE. Men and Women.
Tupeane mauzoefu.
Kuna Kapisi Nilikaelewa Sana Ile Siku Kamekubali Kakakataa Kutumia Ndom, Kakanambia Kapo Ok Hivo Kama Nami Nipo Fit Basi Tuchape Game Dah! Nilichapa Japo Kwa Woga
😂😂😁😁🙌🙌🙌Daah matumizi ya Condom ww yaache tu
.. unamjua mtu leo ... mnatumia kondom kama week mbili za mwanzo ...baada ya hapo mnaanza kuteleza free ..mshapimana kwa macho.. ,,,,[emoji3][emoji16]... Ni mwendo wa kujiunga kwenye Grid ya Taifa tu ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe hilo somo vizuri.Usijaribu huo mchezo kwenye nchi za watu...Ufanye kwa raha zako bongo tu ila ukifika JNIA temana nao uusahau kabisa.Rafiki yangu hadi leo haamini kilichomkuta.
Unaitwa Stealthing kama sikosei.
TOP DEFINITIONUsijaribu huo mchezo kwenye nchi za watu...Ufanye kwa raha zako bongo tu ila ukifika JNIA temana nao uusahau kabisa.Rafiki yangu hadi leo haamini kilichomkuta.
Unaitwa Stealthing kama sikosei.
Interest za watu zipo hukuNyuzi za hivi zinatembeaga kwa speed ya jet.
Mmeku uleteka chia kabisa..Mimi nilianza kwa kupiga kavu, katikati ya game nikakumbuka yule manzi alishawahi kutembea na mtu mwenye ngwe ngwe....nikachomoa dushe nikavaa condom na nikaendelea. [emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app