Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Nokia/Samsung/LG za 20,000/- zipo mbona hazidharauliki?Elfu ishirini unapata tecno,na simu zao za bei hazizidi laki 7 hata itoke leo na iwe na kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunatumia Tecno tunadharauliwa sana humu, eti simu hazina kiwango hazitambuliki kimataifa!
Kumbe Tecno jina kubwa hadi UK zipo,hapa nimeambatanisha tangazo kwenye mechi ya Premier League jijini Manchester, Etihad Stadium Tecno inatesa...
I love my Tecno Woreva....View attachment 571915
Angalia huawei mate 9 (posche) price yake then linnganisha na tecnoHuwezpata samsung au nokia mpya kwa 20,000/=,labda kwa teja na pia angalia bei za simu zake kubwa zinafika mpaka 1.5M
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo nyingi tu....vitochi ni toleo maarufu la nokia bei zake ndio hizo, vipi vi samsung vya bei hio pia.Huwezpata samsung au nokia mpya kwa 20,000/=,labda kwa teja na pia angalia bei za simu zake kubwa zinafika mpaka 1.5M
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchicha wa 20,000/= mpaka laki 7 unauzwa wapi? Acha ujinga wewe. Una simu ya 1.5 M afu unaishi kwa Shemeji then unawananga watumia tecno?Elfu ishirini unapata tecno,na simu zao za bei hazizidi laki 7 hata itoke leo na iwe na kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao Waongo Tekno Ndo Baba Yao Kwasasa Mie Nawaambia Kwa Wale Wapenda Show Off Wakatafte Tekno Canno Cx Ina Kamera HD mpaka sisimizi anaonekana kamera ya mbele 16MP Na yanyuma 32MPHumu asietumia Tecno anatumia Iphone au S6,7,8
Mimi Tecno P6 yangu nilinunua 2014 mpaka leo iinadunda!Hao Waongo Tekno Ndo Baba Yao Kwasasa Mie Nawaambia Kwa Wale Wapenda Show Off Wakatafte Tekno Canno Cx Ina Kamera HD mpaka sisimizi anaonekana kamera ya mbele 16MP Na yanyuma 32MP
Sio utani brother...Ha ha ha hii mpya.....
na kama unaishi kwako na unatumia tecno kapime mkojo [emoji23][emoji23][emoji23]Mchicha wa 20,000/= mpaka laki 7 unauzwa wapi? Acha ujinga wewe. Una simu ya 1.5 M afu unaishi kwa Shemeji then unawananga watumia tecno?
Angalia picha ya kwenye post hii.na kama unaishi kwako na unatumia tecno kapime mkojo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
mi tecno labda unipe bureAngalia picha ya kwenye post hii.
Mtoa post anaishi kwake na ni pazuri na bado anatumia Tecno
Wewe unayetumia IPhone 7 unaishi kwa dadako tangulia kwa Mkemia ukapimwe hajakubwaa aiseeena kama unaishi kwako na unatumia tecno kapime mkojo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee unapenda vya bureeeee.
Hahahahahah, hii kaliWewe unayetumia IPhone 7 unaishi kwa dadako tangulia kwa Mkemia ukapimwe hajakubwaa aiseee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamna mkuu, wengine tupo samsung za kawaida tu hizi version za JHumu asietumia Tecno anatumia Iphone au S6,7,8